Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,139
- 2,991
Habari wana Jf na poleni kwa majukumu
Bila kupoteza muda naomba kujuzwa mambo machache kuhusu mkuranga
Halmashauri ya mkuranga ina
1:shule ngapi za sekondari
2: kati ya hizo shule ,shule ngapi zina kidato cha tank
3:shule gani zipo mazingira magumu( yani zipo mbali na mji, amna maji, umeme wala huduma za jamii)ikiwezekana nitajie na majina
4:shule zipi zipo mazingira ya wastani, zinamazingira magumu lakini sio sana .imibidi na jina la hizo shule
5 :shule zipi zipo mazingira mazuri, yani zipo mjini au kwenye miji.
Natanguliza shukrani
Bila kupoteza muda naomba kujuzwa mambo machache kuhusu mkuranga
Halmashauri ya mkuranga ina
1:shule ngapi za sekondari
2: kati ya hizo shule ,shule ngapi zina kidato cha tank
3:shule gani zipo mazingira magumu( yani zipo mbali na mji, amna maji, umeme wala huduma za jamii)ikiwezekana nitajie na majina
4:shule zipi zipo mazingira ya wastani, zinamazingira magumu lakini sio sana .imibidi na jina la hizo shule
5 :shule zipi zipo mazingira mazuri, yani zipo mjini au kwenye miji.
Natanguliza shukrani