Wewe mwanamme ushawahi kutongozwa na mwanamke au mdada ushawai kumtongoza mwanamme

Mkuu wanawake wana hili akipenda si rahisi kukuambia ni wachache wanaweza so what you need is to detect her waves! Body language yake ndio itakayokuambia what is going on!!

Jambo jengine unaona hizo bahati azikufikii ni kuwa hujichanganyi nao kivile nawe uwe unaonekana (nakushauri lkn hata mimi mwenyewe kwenye hili kituko tu😂😂)
Jitahidi uchangamane kiduchu they can spot you ila uache kale kamtindo ketu ka kusubiri yakifika unaruka😂😂

Unakuta wapo wengi tu na umewatesa bila kujua wanakupenda ila wakaugulia moyoni.. detect them my friend.
Best advice kiongozi.
 
May you please clarify a little bit on that!

I wish to learn something there on!


Sent using Jamii Forums mobile app
Waungwana waliolelewa na kufundwa heshima nzuri, huwa hawahadithii mambo yao ya faragha waliyofanya na wanawake.

Kwa sababu mambo hayo ni ya faragha.

Kwa sababu wameyafanya katika uwili wao, hayakuwa kwa faida ya jamii kujua kwa kuhadithia mitandaoni.

Kwa sababu kuhadithia ni kujivua nguo mwenyewe.

Kwa sababu kuhadithia kunaweza kumdhalilisha mwanamke.

Kwa sababu kuhadithia kunaweza kuhalalisha na kuchochea ngono zembe.

Lakini, inawezekana hayo ni maoni ya zama zetu tuliosoma vitabu vya Sheikh Shaaban Robert na kujua uungwana ni nini.

Na labda watoto wa zama za mitandao wanakuja na fikira tofauti.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Utafiti unasema wanawake jasiri na wasio dhaifu na wenye kujiamini ndio utongoza wanaume,hapa unapata makabila ya wanawake wa kasikazini mfano wachagga n.k wachagga ni mama lao wakina Manka wanatongoza hao. pamoja na wanawake wa mkoa wa Tanga.
 
umeandika kiueledi sana
Waungwana waliolelewa na kufundwa heshima nzuri, huwa hawahadithii mambo yao ya faragha waliyofanya na wanawake.

Kwa sababu mambo hayo ni ya faragha.

Kwa sababu wameyafanya katika uwili wao, hayakuwa kwa faida ya jamii kujua kwa kuhadithia mitandaoni.

Kwa sababu kuhadithia ni kujivua nguo mwenyewe.

Kwa sababu kuhadithia kunaweza kumdhalilisha mwanamke.

Kwa sababu kuhadithia kunaweza kuhalalisha na kuchochea ngono zembe.

Lakini, inawezekana hayo ni maoni ya zama zetu tuliosoma vitabu vya Sheikh Shaaban Robert na kujua uungwana ni nini.

Na labda watoto wa zama za mitandao wanakuja na fikira tofauti.

Sent from my typewriter using Tapatalk

One love
 
Back
Top Bottom