stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,750
Tuweze kufahamiana taaluma zetu!
Mkuu mi nina Barchelor of Certificate.
Tuweze kufahamiana taaluma zetu!
Mkuu ungeanza wewe kutuambia una shahada gani na umesoma fani gani . Ni vema tukakujua wewe kwanza na pia ueleze sababu ya kutaka kujua elimu zetu je kuna mahala labda umekwazika au unahitaji ushauri wa kitaalam mara baada ya kueleza shida yako watajitokeza wahusika na fani zao nao watakusaidia.Jamani nimemaanisha kama umesoma ngazi ya shahada, je umesomea fani gani?
We ------ naona unawashwa mk***u.. hivi umeielewa thread kweli wewe!!??
Alafu kumamae zako mambo ya kuni PM usenge sitaki,,, malaya mkubwa wewe...kafie mbali huko! alaaaa...
acha kuniPm UPUMBAVU,, SITAKI UMENIELEWA?
tatizo bado mtoto sana wewe,,
embu grow up kidogo basi..
No offence intended ila umenikera.ptuuuuu,, get a life motherf****er!:A S-fire1:
Hongera sana mkuu .Mimi nina Bachelor Of Banking & Finance.
Skills exchange....Perhaps..!! Might as well be the establishment of different members club based on area of expertise
Tuweze kufahamiana taaluma zetu!
Masters in fighting For Public Transport Strategies.
3 years experience (Magari ya Posta - Mbagala)
Masters in fighting For Public Transport Strategies.
3 years experience (Magari ya Posta - Mbagala)
Mi mburula? Kivip mkuu,unaeza nipa hata indicator moja kwenye hoja yangu kuprove umbulula?
Afu uache kunifatilia wewe, toka facebook hadi huku unataka nini? Kusoma kitu gani mpk uanze chuki na mm? Au kwa vile natumia jina langu halisi ndio umepta loophole?
We kasirika tu, mm nimetoa wazo langu unajidai kudelute bila hata kukosoa nilipoandika wrong! Mda mwingine mnatafuta matusi tu ila nakustahi
Kuonesha chuki zako unaongiza ishu ya chadema...inahusiana vp na mimi au nlichoandika? Kasome kimpango wako sio kukaa sijui ni nini kinakuuma mpk uniseme vby bila kunikosoa ikiwa nimeamdika mawzo yangu
Hapa ndo tunajua mbwembwe nying za jm kumbe wengi wao watoto wa sekondari tu wanaonuka maziwa ndo maana hata michango yao inanulka maziwa tu.masters in business management(cooperate management)
mimi binafs sijalipenda hili swali.ina maana jf ni ya waliona shahada pekee?
ningekuwa mod mimi!
samahani mkuu!huna sababu ya kutukana,hapa tunawekana sawa tu!mbona hayo ya facebook sikumbuki ndugu yangu?
Nisamehe kama nimekukwaza
Asante sana mkuu, haya ni matunda ya hii. Thread