Wewe mwana JF una taaluma gani?

jamani hili swali lina ugumu gani mbona mnaleta complication zisizo na maana? au humu ndani tumejaa vihiyooo
 
jamani hili swali lina ugumu gani mbona mnaleta complication zisizo na maana? au humu ndani tumejaa vihiyooo

Bora umeona mkuu? Sijui kuna dhambi gani kwenye swali hili, sasa mtu kama hana shahada si anaikaushia thread?
 
Pamoja sana mkuu... Taaluma unapo pata kitengo hasa sehemu kama Bank na ukwa na juhudi na ukaonesha kujua vitu sio vitu vikujue wewe, una grow faster sana mkuu..... unaonaje ukiwa mkuu wa Idara ya Treasury au mmoja wa staff wa hiyo Idara? Pia ukitaka kupata nafasi kwa urahisi katika hako ka kitengo itakufa sana ukisoma haka ka kitu kanaitwa CTP katakuongezea wigo wa kupata nafasi
Daah, shukrani sana mkuu nimejifunza ka kitu flani. Point noted!
 
Pamoja sana mkuu... Taaluma unapo pata kitengo hasa sehemu kama Bank na ukwa na juhudi na ukaonesha kujua vitu sio vitu vikujue wewe, una grow faster sana mkuu..... unaonaje ukiwa mkuu wa Idara ya Treasury au mmoja wa staff wa hiyo Idara? Pia ukitaka kupata nafasi kwa urahisi katika hako ka kitengo itakufa sana ukisoma haka ka kitu kanaitwa CTP katakuongezea wigo wa kupata nafasi

Asante sana mkuu, haya ni matunda ya hii. Thread
 
Anatumia haki yake ya msingi kwenye socail media sema tatizo lako utasaidiwa au unataka kujua uwezo wetu wa kufikiria?
 
Kwani ni wazo baya kujua taaluma za wana jf mbali mbali humu ndani?

Mzee wa loliondo unapokuwa huna hoja ya kuwaambia wana JF ni bora kunyamaza ili uwape nafasi wenye hoja watu wakazichangia. kwa ushauri tu ni kwamba, kunyamaza ni busara sana kwani hakuna atakayejua u-mjinga au mwelevu kiasi gani kuliko kuongea maana watu watapata nafasi ya kukujua ujinga au welevu wako. TAFAKARI!
 
Mzee wa loliondo unapokuwa huna hoja ya kuwaambia wana JF ni bora kunyamaza ili uwape nafasi wenye hoja watu wakazichangia. kwa ushauri tu ni kwamba, kunyamaza ni busara sana kwani hakuna atakayejua u-mjinga au mwelevu kiasi gani kuliko kuongea maana watu watapata nafasi ya kukujua ujinga au welevu wako. TAFAKARI!

Leo langu mbona liko wazi kupata kufahamiana taaluma mbali mbali? Ili kwa mfano labda ukaingia katika legall issues, je kupita hapa JF huwezi kupata msaada kutokana na wataalam wa sheria humu ndani? Mambo mengine tunacomplicate tu. Mbona ilikua issue easy tu mkuu au kuna kilichojificha? Tujuzane!
 
Back
Top Bottom