Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 275
- 547
Napenda nimtaarifu Mwakalebela ashukuru Corona la sivyo wanachama tungeungana kuja kukuondoa pale pale Jangwani tena kwa nguvu kubwa ya umma wetu wananchi.
Mwakalebela nafahamu upo pale Yanga kutafuta ugali wa kuujazia tumbo lako kama furushi, najua huna mapenzi ya kuongoza timu yetu ifanikiwe.
Mwakalebela najua pesa ya kubwa kuliko uliila wewe na kampani yako. Tuliichanga hadharani na mrejesho wa matumizi yake yapo kiuficho Sana.
Najua unajiandaa tena kwenda kugombea ubunge huku mkiiba pesa Yanga ili mjijenge kisiasa, na hali ilovyo CCM hutoboi hata kura za maoni. Sasa unaonaje ukajiondoa maana hata top leaders wenzako wamekuruka kwenye Jambo Hilo.
Mwakalebela nafahamu upo pale Yanga kutafuta ugali wa kuujazia tumbo lako kama furushi, najua huna mapenzi ya kuongoza timu yetu ifanikiwe.
Mwakalebela najua pesa ya kubwa kuliko uliila wewe na kampani yako. Tuliichanga hadharani na mrejesho wa matumizi yake yapo kiuficho Sana.
Najua unajiandaa tena kwenda kugombea ubunge huku mkiiba pesa Yanga ili mjijenge kisiasa, na hali ilovyo CCM hutoboi hata kura za maoni. Sasa unaonaje ukajiondoa maana hata top leaders wenzako wamekuruka kwenye Jambo Hilo.