Mawazo finyu haya. Utaanzaje kuwauliza wenzako swali ambalo tulitegemea wewe utakuwa wa kwanza kutuelezea nini umeifanyia Tanzania au we sio mtanzania, wasilisha kwanza ni nini we uliyeleta hii thread nini umeifanyia tz halafu mimi nitakuja na orodha ndefu kwa yale ambayo nimeifanyia na nonayoendelea kuifanyia tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.