Wewe kama Developer/Tech Company unatumia vigezo gani kuithaminisha na kuipa bei kazi yako .?

Unakuta bado watu wanalalamika serikali inatoa projects zifanywe na makampuni ya nje au investors na kuwaacha wazawa afu bado pia kuna wananchi wasiothamini hata uwezo wa watanzania wenzao kama ww.

Mbona bongo kuna developers wengi tu na wazuri, hao wahindi watoa tutorials sio kwamba wako vizuri saana zaidi yetu, sema tu hamtuamini, na kama ukizinguliwa na script kiddie mmoja we unadhan bongo developers wote tuko hivo, but mtaona tu umuhimu wetu in the near future.

Ishu ni hii, hao developers una wapata wapi? Wanaweza fanya project on Time? Bei zao zikoje? Maana developers wengi wanataka kutajirika kwenye project moja.
Yes lazima price iwe nzuri maana umetumia muda kusoma ila inachotakiwa ni uwezo wa kupata wateja wengi ili uwa charge kiasi kidogo. Ndo maana kuna vitu kama fiverr na ajiras.com. Lengo ni kutengeza sehemu ya wateja kuwapata developers na developers kupata wateja wengi ili gharama iwe ndogo.

Ila ndo hivyo hata mtu akijiunga kwenye ajiras, anataka malipo yafanyike nje ya system. Kisingizio eti watanzania hatujazoea mambo ya mtandaoni (ni kweli) lakini watozaoeaje bila kutumia system.

Developers wengine waoga ku commit time na price kama kwenye fiverr na ajiras.com

Najua bongo tuna watu wapo vizuri mno, yaani sana. Tatizo ni pakuwapata.
 
Can you specify project kubwa au kampuni kubwa zilizopitia Ajiras.?

Nisiseme uongo, mimi ndo kwanza naisikia kutoka kwako, nimeitembelea, na wamejitahidi ingawa kuna sehem nyingi nimeona kuna shida..! za kufanyiwa marekebisho

Unaona sasa, unachowaza ni project kubwa, kampuni kubwa. ili ufanye kazi moja uingize milioni 10, 20, 50. Utasubiri sana. Unahitaji kujenga reputation kwa kazi ndogo ndogo ambazo zitakusaidia kupata mtaji wa kukua na kufungua kampuni yako ili upate hizo project kubwa.

Huna mtaji, kampuni ya mfukoni, hata hela kula shida, tena unakuta hata leseni ya kampuni mtu huna, utaka project kubwa kutoka kampuni kubwa ndo uanze. Utasubiri mpaka Yesu anarudi.

THINK BIG, START SMALL. Ajiras ni sehumu nzuri ya kuanzia, utaijua biashara vizuri, utaanza ku expand taratibu kama kupata kijana wa kukusaidia kazi. Before you know it. Una fungua kampuni.

Wengi tunadhani kampuni zinafunguliwa kwa kuwa na Million 100, unakodi jengo, weka furnitures, ajiri wafanyakazi na kadhalika. Ukweli ni kwamba kampuni zinaanza na wewe mwenyewe, chumbani kwako, unapambana. Ukiweza kujenga reputation nzuri, wateja wanaongezeka.

Then taratibu unaanza kuona mahitaji ya ofisi, mahitaji ya kuajiri.

SIYO WEWE UNAYEAMUA KUAJIRI AU KUKODI OFISI KUBWA. BUSINESS YENYEWE NDO INAKWAMBIA. KAMA VILE GARI LA MANUAL LINAVYO TAKA UWEKE GIA. SIYO WEWE UNAAMUA KUPANDISHA AU KUSHUSHA GIA.

BILA IVYO UTAJIKUTA NA GHARAMA KUBWA KULIKO UWEZO WA KUIENDESHA.

Mimi nina account Ajiras, cheki username 'Sunday'. Angalia kazi kama ya 'I Will Extract Data From Google Map For You'. Nimeingiza zaidi ya laki 8 kwenye hiyo kazi. Cheki reviews na profile za hao buyers wametoka wapi.
 
Ofcoz kuanzisha platform kama ajiras.com umefikiria vzr sana mkuu na naiona future nzuri ya hio platform, lkn tatizo ni slowness ya matumizi ya technology hapa bongo. Kama watu wanataka kufanyia malipo nje ya system, inabidi uwatengenezee njia rahisi zaidi ya kufanya malipo humohumo ambayo itaendana na level yao, ukisema utumie paypal au visa wengi watashindwa, lkn ukirahisisha wakaweza kutumia mpesa na ezypesa, halotel, etc... wengi watalipia humohumo tu.

Cc ForeverMore
 
Yes, wavivu alafu kuwapata shida.

Dharau kama hizi huwa hazitolewi bila research. Umekosea sana mkuu. Ukiambiwa hata utaje developers wa hivo ambao unawajua au ushashuhudia uvivu wao sidhan hata kama watano watafika(unless they are script kiddies or template editors)

Nilichogundua ni kwamba kuna script kiddies wengi ambao ndio wanaharibu jina la developers wa hapa bongo, Na kwa ufinyu wa kufikiria wa wengi wanadhan script kiddies ndo developers na wanashindwa kutofautisha
 
Unaona sasa, unachowaza ni project kubwa, kampuni kubwa. ili ufanye kazi moja uingize milioni 10, 20, 50. Utasubiri sana. Unahitaji kujenga reputation kwa kazi ndogo ndogo ambazo zitakusaidia kupata mtaji wa kukua na kufungua kampuni yako ili upate hizo project kubwa.

Huna mtaji, kampuni ya mfukoni, hata hela kula shida, tena unakuta hata leseni ya kampuni mtu huna, utaka project kubwa kutoka kampuni kubwa ndo uanze. Utasubiri mpaka Yesu anarudi.

THINK BIG, START SMALL. Ajiras ni sehumu nzuri ya kuanzia, utaijua biashara vizuri, utaanza ku expand taratibu kama kupata kijana wa kukusaidia kazi. Before you know it. Una fungua kampuni.

Wengi tunadhani kampuni zinafunguliwa kwa kuwa na Million 100, unakodi jengo, weka furnitures, ajiri wafanyakazi na kadhalika. Ukweli ni kwamba kampuni zinaanza na wewe mwenyewe, chumbani kwako, unapambana. Ukiweza kujenga reputation nzuri, wateja wanaongezeka.

Then taratibu unaanza kuona mahitaji ya ofisi, mahitaji ya kuajiri.

SIYO WEWE UNAYEAMUA KUAJIRI AU KUKODI OFISI KUBWA. BUSINESS YENYEWE NDO INAKWAMBIA. KAMA VILE GARI LA MANUAL LINAVYO TAKA UWEKE GIA. SIYO WEWE UNAAMUA KUPANDISHA AU KUSHUSHA GIA.

BILA IVYO UTAJIKUTA NA GHARAMA KUBWA KULIKO UWEZO WA KUIENDESHA.

Mimi nina account Ajiras, cheki username 'Sunday'. Angalia kazi kama ya 'I Will Extract Data From Google Map For You'. Nimeingiza zaidi ya laki 8 kwenye hiyo kazi. Cheki reviews na profile za hao buyers wametoka wapi.
Probably hukunielewa, Nlimaanisha sio project kubwa, but a known project au known companies zinazotumia Ajiras.

Nauliza hivyo sabab ningekuwa nimeshaijua Ajiras, kama ingekua kweli inatumika na developers wengi.
 
Unaona sasa, unachowaza ni project kubwa, kampuni kubwa. ili ufanye kazi moja uingize milioni 10, 20, 50. Utasubiri sana. Unahitaji kujenga reputation kwa kazi ndogo ndogo ambazo zitakusaidia kupata mtaji wa kukua na kufungua kampuni yako ili upate hizo project kubwa.

Huna mtaji, kampuni ya mfukoni, hata hela kula shida, tena unakuta hata leseni ya kampuni mtu huna, utaka project kubwa kutoka kampuni kubwa ndo uanze. Utasubiri mpaka Yesu anarudi.

THINK BIG, START SMALL. Ajiras ni sehumu nzuri ya kuanzia, utaijua biashara vizuri, utaanza ku expand taratibu kama kupata kijana wa kukusaidia kazi. Before you know it. Una fungua kampuni.

Wengi tunadhani kampuni zinafunguliwa kwa kuwa na Million 100, unakodi jengo, weka furnitures, ajiri wafanyakazi na kadhalika. Ukweli ni kwamba kampuni zinaanza na wewe mwenyewe, chumbani kwako, unapambana. Ukiweza kujenga reputation nzuri, wateja wanaongezeka.

Then taratibu unaanza kuona mahitaji ya ofisi, mahitaji ya kuajiri.

SIYO WEWE UNAYEAMUA KUAJIRI AU KUKODI OFISI KUBWA. BUSINESS YENYEWE NDO INAKWAMBIA. KAMA VILE GARI LA MANUAL LINAVYO TAKA UWEKE GIA. SIYO WEWE UNAAMUA KUPANDISHA AU KUSHUSHA GIA.

BILA IVYO UTAJIKUTA NA GHARAMA KUBWA KULIKO UWEZO WA KUIENDESHA.

Mimi nina account Ajiras, cheki username 'Sunday'. Angalia kazi kama ya 'I Will Extract Data From Google Map For You'. Nimeingiza zaidi ya laki 8 kwenye hiyo kazi. Cheki reviews na profile za hao buyers wametoka wapi.
Kaka inaelekea hii ajiras ni yako that's why unainadi sana.. Sio vibaya.. Ila tuwe objective.. Umefanya kazi nzuri sana ila mimi navyojua, developers wanajiunga fivver kwa sababu wanajua clients wapo kule wengi.
Sisi developers hatuwezi kuacha fursa, wewe focus kuwaambia clients, sisi tutakuja tukiona traffic nzuri. Mimi binafsi website yako naijua toka muda mrefu ila naionaga tu humu JF na wwe ndio mtu wa kwanza kusema amepata hela pale, ila wewe ndio mwanzilishi kwaio ni vigumu kidogo kunishawishi.
Ningependa unieleweshe, kwa wastani ndani ya wiki moja ni kazi ngapi zinachukuliwa kutoka kwenye Ajiras? .. Nadhani hili ndo swal la msingi ambalo dev yyote atataka kujua kabla ya kuingiza details zake pale na kufocus kujenga portfolio.
 
Kaka inaelekea hii ajiras ni yako that's why unainadi sana.. Sio vibaya.. Ila tuwe objective.. Umefanya kazi nzuri sana ila mimi navyojua, developers wanajiunga fivver kwa sababu wanajua clients wapo kule wengi.
Sisi developers hatuwezi kuacha fursa, wewe focus kuwaambia clients, sisi tutakuja tukiona traffic nzuri. Mimi binafsi website yako naijua toka muda mrefu ila naionaga tu humu JF na wwe ndio mtu wa kwanza kusema amepata hela pale, ila wewe ndio mwanzilishi kwaio ni vigumu kidogo kunishawishi.
Ningependa unieleweshe, kwa wastani ndani ya wiki moja ni kazi ngapi zinachukuliwa kutoka kwenye Ajiras? .. Nadhani hili ndo swal la msingi ambalo dev yyote atataka kujua kabla ya kuingiza details zake pale na kufocus kujenga portfolio.
Swala la msingi ni opportunities. Kuna shida gani ukijiunga Ajiras na Fiverr? Kwanini unaacha fursa mezani.

Fanya kote. Dili likija unapiga. Hilo ndilo la msingi.
 
Swala la msingi ni opportunities. Kuna shida gani ukijiunga Ajiras na Fiverr? Kwanini unaacha fursa mezani.

Fanya kote. Dili likija unapiga. Hilo ndilo la msingi.
Ulichosema ni kweli lakini umelikimbia swali. Website yako ipo vizuri sana, changamoto zilizobaki ni logistical tu.

Kama upo tayari unaweza kuja PM tushauriane nikupe mtazamo wangu wapi unaweza kuboresha ili developers tufaidike, hii thread sio sehem nzuri ya kujadiliana kuhusu ajiras.com
 
Back
Top Bottom