Weusi hawa wameweza vipi - Kabila tajiri kupita yote Afrika!

Mie ninabahati niko huku nafanya kazi na nimetokea kufanya kwenye province ya North west liliko hili Bafokeng Tribe( sio nchi), around Rusternberg, na kwa kifupi ni kwamba wao wamepewa fursa na Government as a Bafokeng Tribe kuendelea na zile royalities tax for any big investors especially on mining in their area na kuna minerals nyingi kwenye eneo lao , hivyo wanapata royalities tax nzuri ( percentage)kutoka kampuni za mining zinazo operate North west around their area like for platinum , Gold , etc na wana Chief wao na well established Royal Bafokeng leadership inayo reinvest pesa thro construction of infracture like freeways within the North West Province and they have erected some toll roads plaza for collection of money for returns on capital invested and use for maintainance of the those freeways.
Folks,
Kumbe inawezekana. Inataka nia. Nimekuwa nazungumzia haki ya wakazi wa maeneo ya madini kupewa royalties badala ya kuhamishwa na kusukumwa kama ng'ombe. Kumbe inawezekana na inafanyika hapa hapa Afrika. Mwanakijiji siku nyingine unikumbushe tukianza mjadala tena wa madini na Sinclair kuwa Bafokeng wameweza. Sisi Nyamongo na Bulyankulu tunaendelea kula mchanga tu.
 
Forget about NG (kwanza hawa wakishaanzaga ujinga wao wa kuonesha wale watu weusi wa kule sijui Papua New Guinea mimi huwaga nabadilisha stesheni wajinga sana hawa watu wa NG), forget about CNN na BBC.....hata kwenye Africa Channel sijawahi kuwaona hawa. Au kwa nini TBC wasiende huko kutengeneza documentary? Tumekaa tumezubaa zubaa tu kusubiri hadi BBC au Deutche Welle waende halafu tuanze kupongeza au kulalamika. I get sick sometimes just thinking about things like this.....

Lakini pia huwezi uka-discount proximity yao na wazungu kuwa ndio imechangia kwa kiasi kikubwa hayo unayoyaita maendeleo yao. Hata Wamarekani weusi ndio weusi wenye hela zaidi duniani per capita....kwa nini? Kwa sababu ni raia wa Wamarekani...taifa tajiri kushinda yote duniani.

Nyani.. soma historia yao kidogo utaona kuwa wazungu walijaribu mbinu zao zile zile zilizofanikiwa kwa kina Mtemi Mirambo kule lakini kwa hawajamaa zilishindwa. Uongozi wao ulikuwa mbele sana.
 
Folks,
Kumbe inawezekana. Inataka nia. Nimekuwa nazungumzia haki ya wakazi wa maeneo ya madini kupewa royalties badala ya kuhamishwa na kusukumwa kama ng'ombe. Kumbe inawezekana na inafanyika hapa hapa Afrika. Mwanakijiji siku nyingine unikumbushe tukianza mjadala tena wa madini na Sinclair kuwa Bafokeng wameweza. Sisi Nyamongo na Bulyankulu tunaendelea kula mchanga tu.

binafsi ningependa kuona watawawala wetu wanatuma kaujumbe kule kwenda kujifunze kidogo, maana hao jamaa wana confidence ile mbaya!! watu wamejenga uwanja wao bila kuomba Wachina! unafanya mchezo!
 
Kumbe yawezekana tuseme tu "watanzania ndivyo tulivyo" maana waafrika hawa wenzetu wamevunja hiyo kanuni ya "Waafrika ndivyo tulivyo"..
 
Nadhani kuna Mchaga mmoja anayewasaidia kwenye misheni zao; anaitwa MUSHI: teh!!!!!!!! teh!!!!!!!! teh!!!!!!!! teh!!!!!!!! teh!!!!!!!! teh!!!!!!!! teh!!!!!!!! teh!!!!!!!! teh!!!!!!!!


Bafokeng.JPG
 
Jus have a look non this one!

Royal Bafokeng Holdings (Pty) Limited RBH is responsible for the management and development of the commercial assets of the Royal Bafokeng Nation (RBN), with the overall business objective of maximizing returns to enable the RBN to deliver sustainable benefits to the community.



Mining

RBH has a significant portfolio in the resources sector with interests in platinum (Implats and Bafokeng Rasimone Mine), ferrochrome (Merafe) and coal mining (SACMH).

Telecommunications

2% in Vodacom SA, a cellular communications company with a 54% share of the South African market


Financial

Financial assets make up the smallest asset class in the investment portfolio and include an investment in Zurich Insurance Company South Africa.


Manufacturing

The investments are in Astrapak, Metair Investments and Bafokeng Concor Technicrete, a joint venture with Concor Technicrete.


Services

The investments are in: Fraser Alexander, MB Technologies, Senwes, DHL Express, Pasco Risk, Praxima, M-Tech Industrial and MOGS.


Sport

The investments are in Premier Soccer League club Platinum Stars FC and Platinum Leopards Currie Cup rugby franchise.


Enterprise development

Royal Bafokeng Enterprise Development (RBED) supports small, medium and micro enterprises (SMMEs).


Cash

RBH manages a cash portfolio on behalf of RBN


Annual review






Newsletter

Podi-ya-tsela, April 2009, English (PDF - 827KB)
Podi-ya-tsela, Moranang 2009, Setswana (PDF - 821KB)



Company news

Appointment of Chief Executive Officer for Royal Bafokeng's BRPM Joint Venture Holding Company

11 March 2010

The shareholders of NewCo, Royal Bafokeng Holdings Ltd and Rustenburg Platinum Mines Limited, a wholly-owned subsidiary of Anglo Platinum Limited are pleased to announce that Steve Phiri, currently CEO of Merafe Resources Limited, will be joining NewCo as Chief Executive Officer with effect from 01 April 2010. Full release
Zurich announces an increase in Royal Bafokeng shareholding in support of Black Economic Empowerment in South Africa

3 December 2009

Zurich Insurance Company Limited, Switzerland and Royal Bafokeng Holdings announced today that they have reached an agreement where Royal Bafokeng Finance will increase its shareholding in Zurich South Africa to 25.1%. Full release
RBH ‘Moves & Shakes'

29 October 2009

Royal Bafokeng Holdings (RBH) and Thebe Holdings have been jointly awarded The Little Black Book's Mover and Shaker Award for 2009/10, in recognition of their R7.5 billion acquisition of a 5% stake in mobile phone giant Vodacom. Full release
North West's pride and joy - Bafokeng live a dream

14 July 2009

The 29 villages that make up the Bafokeng nation are the proud owners of a state-of-the-art sporting complex in Phokeng. Local children are trained in athletics, martial arts, netball, rugby and football. Full article
 
Wao waliruhusu wazungu wawepo so why otherwise ni kina siye tu, mfano kwa mugabe baada ya wazungu kwishene kazi,na tatizo letu ni viongozi wanao tutawala hawana uwezo kiihivyo,
 
so whats the big deal here?

NN.. the big deal ni kuwa it all has to do with leadership; ati utajiri wa hawa jamaa umetokana na kukalia hazina ya Uranium na kutumia hazina hiyo kujijenga na kunufaisha wao na watu wao. Sasa angalia hili (Kutoka Wise-Uranium.org):



In Tanzania, uranium prospection and exploration is being performed by Uranex NL, Omegacorp Ltd, Mantra Resources Ltd, Uranium Resources plc , Indago Resources Ltd , Sabre Resources Ltd , Uranium Hunter Corporation , Trimark Explorations Ltd., IBI Corporation , Gambaro Resources, Douglas Lake Minerals Inc. , Canaco Resources Inc. , Sub-Sahara Resources NL , Tanganyika Uranium Corp. , Troll Mining Ltd, African Eagle Resources PLC , Globe Metals & Mining Ltd , Atomic Minerals Ltd , Universal Power Corp. , Central Iron Ore Ltd , VIPR Industries Inc. , Minergy Tanzania Ltd (Mauritius), Peak Resources Ltd , Kinti Mining Ltd , Kilimanjaro Mining Company, Inc. , Edenville Energy Plc
General

Areva eyes Tanzanian uranium: French energy group Areva is interested in developing Tanzania's uranium deposits, a senior executive told Reuters. Tanzania has at least 54 million pounds of uranium oxide [20,769 t U] deposits and expects to start mining some of it by 2011. (Reuters May 7, 2010) Tanzania to develop uranium deposits: In the wake of encouraging surveys of the country's uranium deposits, Tanzania's government is developing a policy on nuclear energy. Dar es Salaam Daily News reported on July 24 that Tanzania's Minister of Communications, Science and Technology Professor Peter Msolla said the country's rich uranium deposits in Dodoma and Ruvuma will be developed to allow the country to generate electricity [!]. (UPI July 24, 2009)
Uranium extraction in Tanzania to start in 2011: Tanzania plans to start uranium extraction in three years, according to Energy and Minerals minister, William Ngeleja. (Tanzania Guardian March 21, 2009)

Mkuju River project

> View deposit info On Mar. 1, 2010, Mantra Resources Limited announced that the Pre-Feasibility Study for the Company's Nyota Prospect, part of the wholly owned Mkuju River Project in Tanzania, has confirmed the technical and economic viability of the Project and its capacity to operate with strong cash margins. A Definitive Feasibility Study is to commence immediately, targeting completion by the end of 2010.
Uranium mining company Mantra Resources Ltd (Mantra) of South Africa has been given the go ahead by the Tanzania government to mine uranium after it met all environmental conditions as mandated by the National Environment Management Council . Mantra expects to complete a pre-feasibility study anytime now, ahead of the awarding and commencement of a full feasibility study. The drilling programmes are scheduled to be concluded by December and will be followed by a revised resource estimate expected to be completed in the first quarter of 2010. (The East African Sep. 14, 2009)
"Mantra Tanzania Limited is expected to start mining uranium by 2012," Minister William Ngeleja said in a speech to parliament. (Reuters July 26, 2009)
On June 17, 2009, Mantra Resources Limited announced that the Scoping Study for its wholly owned Nyota Prospect, part of the Mkuju River Project in Tanzania, has confirmed the technical and economic viability of the Project and its capacity to operate with strong cash margins. A Pre-Feasibility Study is now underway.
> Calculate Nyota Prospect mine feasibility

Manyoni project

(formerly Bahi project) > View deposit info
On Oct. 27, 2009, Uranex NL announced the commencement of the final stage of the Pre-Feasibility Study at its wholly owned Manyoni Uranium Project in central Tanzania following successful additional leach test work and initial results from the 2009 infill drilling programme.
Uranium mining company Uranex has been given the go ahead by the Tanzania government to mine uranium after it met all environmental conditions as mandated by the National Environment Management Council . (The East African Sep. 14, 2009)
"Uranex Tanzania Limited ... expects to start producing the mineral [uranium] in 2011," Minister William Ngeleja said in a speech to parliament. (Reuters July 26, 2009)
On June 10, 2009, Uranex NL, once again, announced the commencement of the Pre-Feasibility Study for its Manyoni Project in Central Tanzania. The study now is scheduled for completion by December 2009.
Uranex NL may start operating a mine in Tanzania's central Bahi region within two years, Chief Executive Officer John Wilfred Cottle said. Studies conducted at Manyoni, about 80 kilometers west of the capital, Dodoma, in the Bahi region show an inferred resource estimate of 6,900 metric tons of uranium oxide, Cottle said in an interview today in the commercial capital, Dar es Salaam. "These are very shallow deposits so we expect it to be low-cost and relatively simple to process," Cottle said. "We would like to start producing in that region in 2010." (Bloomberg Oct. 7, 2008)
On Aug. 20, 2008, Uranex NL announced the commencement of a pre-feasibility study on the Bahi uranium project in central Tanzania. The study is to be completed by December 2008.
 
Hiyo holding company yao RBH ndiyo kama vile say TRC, ATC, URAFIKI, UFI, TANGANYIKA PACKERS etc. za kwetu. Guess you know where they went as of now!
 
Wangefungua chuo chs uongozi ili kila anayeingia katika utawala wa nchi na au kupewa wadhifa kuongoza wenzake apewe kipaubele ikiwa kasomea katika Bafokeng. Shida ni kwamba viongozi wengi Afrika wanakazania kupora kujinufaisha wenyewe na familia zao. Kama wangeifanya nchi kuwa familia moja nchi zao zingeendelea pia. Kila kiongozi anakazania kuchukuwa chake mapemakabla hakujakucha. Kwa kuwawekea vipindi viwili kuwa kikomondio basi kabisa, kasi mpya na mbinu mpya zinazaliwa za uporaji.
 
Mie ninabahati niko huku nafanya kazi na nimetokea kufanya kwenye province ya North west liliko hili Bafokeng Tribe( sio nchi), around Rusternberg, na kwa kifupi ni kwamba wao wamepewa fursa na Government as a Bafokeng Tribe kuendelea na zile royalities tax for any big investors especially on mining in their area na kuna minerals nyingi kwenye eneo lao , hivyo wanapata royalities tax nzuri ( percentage)kutoka kampuni za mining zinazo operate North west around their area like for platinum , Gold , etc na wana Chief wao na well established Royal Bafokeng leadership inayo reinvest pesa thro construction of infracture like freeways within the North West Province and they have erected some toll roads plaza for collection of money for returns on capital invested and use for maintainance of the those freeways.

Hiki walichoruhusiwa hawa jamaa ndicho kilichokatazwa katika nchi yetu kwa kuua utawala wa machifu na pia serikali za majimbo...Kwa vyovyote nchi yetu ikiendelea kutawaliwa kwa mtindo huo tulio nao ambapo mambo mengi ni centralised ( pamoja na kuwepo D by D ambayo bado ni kitendawili tusitegemee miujiza katiak maendeleo)..ni kama Dinosaur vile.. by the time anang'amua maumivu ujue keshateketea nusu!
Ni ama serikali iharakishe decentralisation totally ikiwemo na ukusanyaji wa mapato na maamuzi namna ya kutumia, au kuwa na utaratibu utakaohakikisha kuna mifumo na taratibu nzuri za kuharakisha maendeleo.ila kitendawili ni namna ya kukabiliana na ufisadi na ubadhirifu.
 
Hiki walichoruhusiwa hawa jamaa ndicho kilichokatazwa katika nchi yetu kwa kuua utawala wa machifu na pia serikali za majimbo...Kwa vyovyote nchi yetu ikiendelea kutawaliwa kwa mtindo huo tulio nao ambapo mambo mengi ni centralised ( pamoja na kuwepo D by D ambayo bado ni kitendawili tusitegemee miujiza katiak maendeleo)..ni kama Dinosaur vile.. by the time anang'amua maumivu ujue keshateketea nusu!
Ni ama serikali iharakishe decentralisation totally ikiwemo na ukusanyaji wa mapato na maamuzi namna ya kutumia, au kuwa na utaratibu utakaohakikisha kuna mifumo na taratibu nzuri za kuharakisha maendeleo.ila kitendawili ni namna ya kukabiliana na ufisadi na ubadhirifu.

WoS, it always go back to the leadership... don't you think?
 
Back
Top Bottom