Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 656
Tunamshauri Rais asisikilize majungu. Hawa wachapa kazi hawafai kuachishwa kazi hata chembe.
Rais baki nao hawa umalize nao awamu yako, hayo majungu ya akina Mkono na Mengi yasikuyumbishe.
Kijasho chembamba kinakuvuja si ulisema hata mmoja hatawajibishwa???Fisadi mkubwa wee (hapana ww sio fisadi). Lakini tusubiri kuni zinazopika dawa ya mafisadi wa escro hazijaisha na dawa inaendelea kuchemka, zikisha tu na wewe tafuta mtandao mwingine uhamie