Kama mchezi mliouzoea kupata matokea mazuri nje ya uwanja:
1.Mlimpa Mwakingwe rushua Kado akawaumbua
2.Mkawapa Miembeni kombe la Mapinduzi wakaachia,Bausi kalalamika kajiuzulu.
3.Mkampa Mwamanda akaachia mwaka uleee...
4.Mkampigia Kasambale avute,akasema uongozini
5.Mmewashikisha Azam mkawaponza, wako kijiweni wanacheza ndondo.
Sisi twashinda kihalali natuko juuuuuuuuu...............
1.Mlimpa Mwakingwe rushua Kado akawaumbua
2.Mkawapa Miembeni kombe la Mapinduzi wakaachia,Bausi kalalamika kajiuzulu.
3.Mkampa Mwamanda akaachia mwaka uleee...
4.Mkampigia Kasambale avute,akasema uongozini
5.Mmewashikisha Azam mkawaponza, wako kijiweni wanacheza ndondo.
Sisi twashinda kihalali natuko juuuuuuuuu...............