Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,892
- 12,678
- Kuna familia na Koo zipo hakuna aliyemaliza form 4 wote elimu iliwashinda.
- Kuna familia na Koo mmoja tu kafanikiwa kufika chuo na kumaliza ila kazi hana.
- Kuna familia na Koo ndio unakuta masikini wa kukufuru, mabinti wote wamezalia nyumbani, hakuna aliyeolewa na vijana nao wote wameleta wake zao nyumbani. Hakuna hata mwenye afadhali ya maisha.
Wenzangu mnafanyaje mliozaliwa kwenye umasikini?
Picha kutoka maktaba