Wenzetu kazi za uaskari na jeshi wanaajiriwa wakiwa wadogo sana

Dogo GSM

Member
Jul 31, 2021
65
91
Halloo..habari za weekend ndugu zanguni,

Nimeona hii nchi nyingi zenye machafuko haswaa ndipo huajiri vijana wenye umri mdogo sana katika kazi hizo nadhani ni kutokana na uwepo wa hayo machafuko haswaa nchi za kiarabu huko.

Hapa Afrika nimeona nchi kama nigeria,Somalia,na kwingine kote wanaajiri recruits mpaka wa miaka 16 lol!.NCHI hizo hakuna haja ya koneksheni wala hongo ambapo ni tofauti na huku Afrika mashariki au kusini ambako kupata nafasi jeshini ni kwa makolokolo mengii.

Wenzetu nchi za ulaya na Amerika huko waliosoma sana kazi za polisi na jeshi sio kipaumbele chao wala hawazishobokei.

Nimeshangazwa na taarifa ya askari wa kike wa US NAVY Nicole gee aliyefariki katika machafuko huko Afghanistan amezaliwa mwaka 1998 na amedanja akiwa na rank ya sergeant (sajenti) wakati huku kwetu usajent umekaa kisiasa sana yaani kila sajent ni kuanzia 50yrs.
FB_IMG_16306822556415164.jpg
FB_IMG_16306822817838795.jpg
FB_IMG_16261195355293225.jpg
 
Nikikumbuka J.a.k.at.a nilizama na 19 ...mpka natoboa kulamba Chaka tayar Nina 22!!!...

Daah sio poa mazee ..systeam zetu zimepoa sana kutokana na Aman!!! (No war)


Imagine una"recruit vijana 15000...elf
Afu unawaludisha home na wanaitaj kazi...

Mungu atusimamie:

Now Nina 25...:
 
VP mabadiliko yako kwa sasa, still a service man or as a real cop?
 
Mnapojadili mambo ya kijeshi angalieni na structure ya majeshi husika na mahitaji.

USA Wana idadi kubwa sana ya wanajeshi ambao pia Wana hiari ya kustaafu hata akiwa na umri wa Miaka 40 tu, ni lazima wawapromote haraka ili kuweka uwiano sawa ngazi za uongozaji vita na upiganaji vita.

Nchi ikiwa haitumii sana wanajeshi ( mfano Tanzania) Haina uharaka wa kuajiri Askari wapya Kwa wingi. Hii no kuepuka kuwa na idadi kubwa ya Askari wasioshiriki kazi nyingi za kijeshi ikiwemo mazoezi ya kivita.

Budget ya Tanzania hairuhusu kupandisha vyeo Kwa maaskari Kwa mikupuo Mingi ili kuweka sawa chain of command na malipo.

All in all umri pia unategemea na recruiting system, Tanzania tuna 2 or more years for service (national service /jkt/jku), hivyo inahesabika hata akiajiriwa katika umri wa 23, 24, 25 siyo mbaya.

Nb; umri wa mafunzo maalumu ( ukomandoo) usizidi Miaka 17-22 au 23.
 
Halloo..habari za weekend ndugu zanguni,

Nimeona hii nchi nyingi zenye machafuko haswaa ndipo huajiri vijana wenye umri mdogo sana katika kazi hizo nadhani ni kutokana na uwepo wa hayo machafuko haswaa nchi za kiarabu huko.

Hapa Afrika nimeona nchi kama nigeria,Somalia,na kwingine kote wanaajiri recruits mpaka wa miaka 16 lol!.NCHI hizo hakuna haja ya koneksheni wala hongo ambapo ni tofauti na huku Afrika mashariki au kusini ambako kupata nafasi jeshini ni kwa makolokolo mengii.

Wenzetu nchi za ulaya na Amerika huko waliosoma sana kazi za polisi na jeshi sio kipaumbele chao wala hawazishobokei.

Nimeshangazwa na taarifa ya askari wa kike wa US NAVY Nicole gee aliyefariki katika machafuko huko Afghanistan amezaliwa mwaka 1998 na amedanja akiwa na rank ya sergeant (sajenti) wakati huku kwetu usajent umekaa kisiasa sana yaani kila sajent ni kuanzia 50yrs.
View attachment 1922649View attachment 1922650View attachment 1922652
U sajenti u umekaa kikada
 
Back
Top Bottom