Wenzangu mngelijibuje ili swali unapoulizwa katika INTERVIEW tena ndio la kwanza nimeulizwa kabla ya mengine

Kwanini hakuuliza hivyo?
Kwasababu huyo muulizaji ni mnoko alikuwa anataka kukukwamisha tu kwa masuala ya kilugha.
Alijua kwa kiingereza chetu cha kibongo utashindwa kuelewa anakuuliza nini.

Ushauri siku nyingine mleta mada Neek ukikutana na swali usilo elewa unamuomba samahani na kumuambia haujamuelewa swali lake. Usiogope wala kutetemeka mkazie macho huku ukijiamini maana hiyo siyo dhambi wala kosa kutoelewa na kuomba ufafanuzi.

Nadhani unajuwa namna ya kuomba ufafanuzi kwa kimalkia, remember to use request statement instead of command statement.

Words like please, excuse me, pardon me, kindly, and many other should be your most frequent used words or phrases during interviews and in your career.

Ukiwa kazini utakutana na hali kama hiyo mara nyingi, hivyo ukiogopa kuuliza au kuomba ufafanuzi unapopewa maelekezo au kazi flani unaweza kuharibu kazi. Ukiwa mkweli na kuuliza unavuna point muhimu sana kwenye interview.

Remember there is no shame in asking and there are no dumb questions.
 
Titicomb,
Hana unoko wowote mbovu tu. Kuna njia nyingi sana ya kumbana mtu kwenye interview . Yeye ni mbovu wa lugha sidhani kama alikuwa anataka kumbana muomba kazi kwenye lugha. Kuna mambo mengi sana ya kujieleza kwenye interview na kama mtu mbovu wa lugha utajua tu.

Muuliza swali atafa ushauri wako mwingine ni ushauri mzuri kwa mtu ambae hana uzoefu wa interviews.
 
Titicomb,
Sure , next time mwambie " sorry sir, what do you mean or please kept in simple manner '' maana interview nzuri ni ile ambayo inakuwa friendly talk huku mkicheka kiaina. wakazie macho na ondoa hofu moyoni mwako.
 
What is going on before you haimaanishi nini kinaendelea kabla yako.

Maana yake ni nini au mambo gani yanaendelea (mbele yako) kwa wakati unapoulizwa swali.

Epukeni sana word-to-word translation, mnaharibu maana iliyokusudiwa.
 
Tupo pamoja mkuu.
Hizo ndio changamoto za watu wanaojiandaa kuwafanyia watu interview kutafuta maswali mitandaoni na kwenye vitabu vya 78 Interview Questions and Answers.

Badala ya kutafuta maswali yanayo husiana na taaluma yako na huko ndio atajua na uwezo wako wa lugha.

Kuna jamaa mmoja mbelembele huko alikuwa anapondea watu wanaofanyia watu usahili kuna wakati wanauliza maswali ya ku-google ambayo hata wenyewe kabla ya ku-google walikuwa hawajui majibu yake, tena hayana tija kwenye kazi ya mtu wanaemtafuta.
Asante mkuu
 
Ndio kusema lugha yetu adhimu ya Kiswahili haitumiki kwenye interview?
 
Tense ya "what is going on before you" ni Present Continuous. Hakuna utata hapo.

Hiyo sentensi ni sawa na angeulizwa "what is happening infront of you".
Mimi na kiingereza changu cha GoT schools nimeona swali hilo ni kama kaulizwa "Tell us about you" wakimaanisha ajieleze historia na sifa zake professionally na education wise kulingana na kazi aliyo omba.
 
Back
Top Bottom