raoka kubanda Member Jun 13, 2017 45 24 Jun 5, 2021 #1 Wenzangu nyie hali ikoje mnafanikiwa kufanya application NACTE?
simple N Member May 31, 2015 57 11 Jun 5, 2021 #2 Mm inagoma ku apload vyeti inasema fakepath sijui tatizo kwangu tu au,msaada plz hapo