kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,894
Ahsalaam Alekum!!
Wenzangu katika hili, mwaka mpya huu tupambane kwa nguvu zote, jirani, rafiki, michepukus na kadhalika; POMBE siyo jamani.
Hii kitu, inatuaibisha, kutuchelewesha, kutupa maradhi na kutuvunjia heshima. Hivi kwa nini tusipumzikee??
Kitu hii, ishavunja mahusiano mengi tu, ukiacha yale ya ndoa.
Kilaji, kimeshapoteza, ndugu zetu wa dhati kwa kulewa na kupata ajali.
Vile vile kilaji kimeshatuletea ulemavu wa kila aina, kupoteza ajira na kutugombanisha na ndugu zetu.
Tunakwama wapi, jambo hili kuliacha?
Kilaji, kimesha sababisha kutenda Gwaride kuu, bila Buti, yaani peku puke Jangwani!
Kilaji, kimesababisha, kuhonga, nyumba
Kilaji kimeleta yote haya!
Wenzangu katika hili, mwaka mpya huu tupambane kwa nguvu zote, jirani, rafiki, michepukus na kadhalika; POMBE siyo jamani.
Hii kitu, inatuaibisha, kutuchelewesha, kutupa maradhi na kutuvunjia heshima. Hivi kwa nini tusipumzikee??
Kitu hii, ishavunja mahusiano mengi tu, ukiacha yale ya ndoa.
Kilaji, kimeshapoteza, ndugu zetu wa dhati kwa kulewa na kupata ajali.
Vile vile kilaji kimeshatuletea ulemavu wa kila aina, kupoteza ajira na kutugombanisha na ndugu zetu.
Tunakwama wapi, jambo hili kuliacha?
Kilaji, kimesha sababisha kutenda Gwaride kuu, bila Buti, yaani peku puke Jangwani!
Kilaji, kimesababisha, kuhonga, nyumba
Kilaji kimeleta yote haya!