Solarpanel
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 235
- 38
Habarini wakuu,naomba kuleta hoja hii hawa wenyekiti siwaelewi kama wanavchofanya ni sahihi,mimi nafanya kazi benki kuna fomu tunawapa wateja wetu wakasainiwe na wenyeviti kuverify makazi,lakini wanasema wanawakatalia mpaka watoe hela kama elfu kumi hivi?je ni sawa?kingine hata unapotaka kununua kiwanja ukihitaji huduma yao wanataka ten pacent ya kiwanja ulichonunua ndo wagonge muhuri.is it fair?navojua wanalipwa mshahara kwann wanafanya hivi,je kwa kuanza na huyu mmoja nimtishieje ili aache kuwatesa wateja hivi