East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,205
Kuna taarifa kuwa wenyeviti wa UKAWA ndio wanamtaka Lowasa kwa udi na uvumba lakini makatibu wakuu wa vyama vyote vinavyounda UKAWA na wasaidizi wao na wengi wa wanachama wa kawaida wa UKAWA hawamtaki Lowasa ndani ya UKAWA.
Hali ni mbaya mno hasa kwa upande wa Zanzibar.Vikao vizito vinaendelea na vinaendeshwa usiku na mchana lakini bado nguvu ya kumkataa Lowasa kwenye UKAWA ni kubwa mno imewafanya wenyeviti kuanza mawasiliano upya ya kutafakari upya kuhusu Lowasa.
Kuna uwezekano mkubwa wa LOWASA jina lake Kukatwa asiwe mgombea ndani ya UKAWA ili kuokoa hali ya sintofahamu iliyoibuka ndani ya vyama hivyo upande wa bara na visiwani.
Akikatawa itakuwa ndio mwishio wa Safari ya matumaini yake hewa kwani tume ya uchaguzi imeshatoa ratiba ya wagombea uraisi wa vyama vyote kasoro vinavyounda UKAWA.
Ina maana akikatwa tu hatakuwa na chama kingine cha kwenda sababu chama cha mwisho kuchukua fomu ni chenye mgombea kutoka UKAWA.
Je, akikatwa atarudi CCM mbio au atabaki kuijenga CHADEMA hakuna ajuaye isipokuwa Lowassa Mwenyewe.
Hali ni mbaya mno hasa kwa upande wa Zanzibar.Vikao vizito vinaendelea na vinaendeshwa usiku na mchana lakini bado nguvu ya kumkataa Lowasa kwenye UKAWA ni kubwa mno imewafanya wenyeviti kuanza mawasiliano upya ya kutafakari upya kuhusu Lowasa.
Kuna uwezekano mkubwa wa LOWASA jina lake Kukatwa asiwe mgombea ndani ya UKAWA ili kuokoa hali ya sintofahamu iliyoibuka ndani ya vyama hivyo upande wa bara na visiwani.
Akikatawa itakuwa ndio mwishio wa Safari ya matumaini yake hewa kwani tume ya uchaguzi imeshatoa ratiba ya wagombea uraisi wa vyama vyote kasoro vinavyounda UKAWA.
Ina maana akikatwa tu hatakuwa na chama kingine cha kwenda sababu chama cha mwisho kuchukua fomu ni chenye mgombea kutoka UKAWA.
Je, akikatwa atarudi CCM mbio au atabaki kuijenga CHADEMA hakuna ajuaye isipokuwa Lowassa Mwenyewe.