Wenyeviti na kamati kuu zenu mtaachia lini ngazi kuwajibika?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,910
51,904
Uchaguzi ukipita chama kikashindwa timu nzima ya uongozi ulikowepo unatakiwa uachie ngazi upishe timu mpya.Vyama vinavyounda UKAWA kushindwa UCHAGUZI inaonekana kuwa ni sifa ya uongozi uliokuwepo kuendelea kushika madaraka.CCM wakishinda wanabadilisha viongozi wakati UKAWA wakishindwa viongozi walikuwepo wanapigiwa debe waendelee !!! Kituko
 
Uchaguzi ukipita chama kikashindwa timu nzima ya uongozi ulikowepo unatakiwa uachie ngazi upishe timu mpya.Vyama vinavyounda UKAWA kushindwa UCHAGUZI inaonekana kuwa ni sifa ya uongozi uliokuwepo kuendelea kushika madaraka.CCM wakishinda wanabadilisha viongozi wakati UKAWA wakishindwa viongozi walikuwepo wanapigiwa debe waendelee !!! Kituko

jibu ni moja tuu ulaji Wa watu na hawana nia ya dhati na pia wao ndo wamejipa hati miliki ya upinzani Tanzania
 
Uchaguzi ukipita chama kikashindwa timu nzima ya uongozi ulikowepo unatakiwa uachie ngazi upishe timu mpya.Vyama vinavyounda UKAWA kushindwa UCHAGUZI inaonekana kuwa ni sifa ya uongozi uliokuwepo kuendelea kushika madaraka.CCM wakishinda wanabadilisha viongozi wakati UKAWA wakishindwa viongozi walikuwepo wanapigiwa debe waendelee !!! Kituko
Kinachotakiwa ccm muanze kutoa fomu watu wenye sifa wagombee na siyo haya maigizo mnayoyafanya sasa hivi kupena uongozi mezani.
 
Uchaguzi ukipita chama kikashindwa timu nzima ya uongozi ulikowepo unatakiwa uachie ngazi upishe timu mpya.Vyama vinavyounda UKAWA kushindwa UCHAGUZI inaonekana kuwa ni sifa ya uongozi uliokuwepo kuendelea kushika madaraka.CCM wakishinda wanabadilisha viongozi wakati UKAWA wakishindwa viongozi walikuwepo wanapigiwa debe waendelee !!! Kituko
Vyama vyote nchi hii havina democracy ya wazi na ukweli kama unakataa nenda Dodoma wiki kagombee nafasi za watu uone yatakayokukuta.
 
Kinachotakiwa ccm muanze kutoa fomu watu wenye sifa wagombee na siyo haya maigizo mnayoyafanya sasa hivi kupena uongozi mezani.

Fomu za kugombea uenyekiti wa CCM hutolewa kwa kila mtu Mwana CCM anayetaka.PROCESS YAKE ni kugombea uraisi sababu anayeshinda ugombea uraisi ndiye huja kuwa mwenyekiti wa CCM taifa.Kipindi cha ugombea uraisi kikifika kila mwana CCM ruksa kuchukua fomu ya kugombea.Ndio maana mwaka jana uliona hata yule mkulima darasa la saba alipewa fomu bila kubaguliwa kuwa ruksa kugombea uraisi.Yule mkulima alitaka kuja kuwa mwenyekiti wa CCM taifa baadaye ila kura hazikutosha.

Naomba niulize CHADEMA watu wote wanaruhusiwa kuchukua fomu kugombea uraisi au uenyekiti wa CHAMA? CUF je? NCCR je? Huko ni aibu.Kuonyesha nia tu ni kosa kubwa.Ona hata LOWASA alishandanishwa na nani kwenye sanduku la kura kuteuliwa kuwa mgombea uraisi? Vitu vinafanyika kama uchawi.Hakuna demokrasia ni DOMO KRASIA (KUPEPETA MDOMO tu)
 
Uchaguzi ukipita chama kikashindwa timu nzima ya uongozi ulikowepo unatakiwa uachie ngazi upishe timu mpya.Vyama vinavyounda UKAWA kushindwa UCHAGUZI inaonekana kuwa ni sifa ya uongozi uliokuwepo kuendelea kushika madaraka.CCM wakishinda wanabadilisha viongozi wakati UKAWA wakishindwa viongozi walikuwepo wanapigiwa debe waendelee !!! Kituko
Je wale waliofanya uhuni Wa kuiba kura wafanyiwe nini? Na wale waliong'ang'ania madarakan zbar unawashauri nn?
 
Fomu za kugombea uenyekiti wa CCM hutolewa kwa kila mtu Mwana CCM anayetaka.PROCESS YAKE ni kugombea uraisi sababu anayeshinda ugombea uraisi ndiye huja kuwa mwenyekiti wa CCM taifa.Kipindi cha ugombea uraisi kikifika kila mwana CCM ruksa kuchukua fomu ya kugombea.Ndio maana mwaka jana uliona hata yule mkulima darasa la saba alipewa fomu bila kubaguliwa kuwa ruksa kugombea uraisi.Yule mkulima alitaka kuja kuwa mwenyekiti wa CCM taifa baadaye ila kura hazikutosha.

Naomba niulize CHADEMA watu wote wanaruhusiwa kuchukua fomu kugombea uraisi au uenyekiti wa CHAMA? CUF je? NCCR je? Huko ni aibu.Kuonyesha nia tu ni kosa kubwa.Ona hata LOWASA alishandanishwa na nani kwenye sanduku la kura kuteuliwa kuwa mgombea uraisi? Vitu vinafanyika kama uchawi.Hakuna demokrasia ni DOMO KRASIA (KUPEPETA MDOMO tu)
Hebu tuwekee kifungu cha katiba ya ccm kinachosema haya unayotaka kutusadikisha....!!
 
Na wale waliong'ang'ania madarakan zbar unawashauri nn?

Usitake nivunje katiba.Usije niuliza hata siku moja kuhusiana na uchaguzi wa raisi Zanzibar uwe halali au haramu.Mimi sio mzanzibar.Na kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya 2010 Zanzibar ni nchi kamili.Na katika mambo ambayo si ya muungano ,uchaguzi wa raisi Zanzibar si jambo la muungano.Kwa hiyo nikome usiniletee mambo yasiyonihusu mimi mtanzania bara.Kayaongeleeni huko huko kwenu Zanzibar na tume yenu ya uchaguzi ya huko nchini kwenu.
 
Usitake nivunje katiba.Usije niuliza hata siku moja kuhusiana na uchaguzi wa raisi Zanzibar uwe halali au haramu.Mimi sio mzanzibar.Na kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya 2010 Zanzibar ni nchi kamili.Na katika mambo ambayo si ya muungano ,uchaguzi wa raisi Zanzibar si jambo la muungano.Kwa hiyo nikome usiniletee mambo yasiyonihusu mimi mtanzania bara.Kayaongeleeni huko huko kwenu Zanzibar na tume yenu ya uchaguzi ya huko nchini kwenu.
Povo LA nini wewe? Jibu hoja sio kushambulia mtoa hoja,. Maana Uzi wako unaonekana ulengo LA kuisadia jamii ktk masuala ya democracy. Usiogope kutukana maana uelewa wako ndo uko hivo
 
Back
Top Bottom