msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,827
- 1,729
Tembea uone. By the way naheshimu sana mila za watu nawezka hili wazi kabisa. Ila kuna mengine da!! wenyeji wangu hapa nilipo ukialikwa kwenye msiba jiaandaee. Mwili unatolewa Mochwali na kupelekwa nyumbani kuangwa , huko sasa hotuba zinaanza kila mwanafamilia lazima aseme neno, majirani nao, na waliosoma nae , na kama kuna wafanyakazi wenzie. sasa kasheshe kama marehemu amefia Kijijini ndio balaa , utakuta mwili mpaka kama unaharibika , wanachofanya ni kuuweka pembeni kwenye direction ya upepo na hotba zinaendelea mpaka wamalize na hapo bado mchungaji
da!!
da!!