Wenyeji wa Shinyanga naomba mniambie sehemu nzuri ya kulala (Guest house)

Habari za asubuhi wapendwa?

Next week nina safari ya kwenda Shinyanga mjini, Sasa kwa wenyeji wa mji huu naomba mniambie sehemu nzuri ya kulala (Guest house), ya bei ya kawaida lakini pawe na huduma za msosi na vinywaji, sehemu ambayo naweza kupunguza stress za maisha na safari.
Njoo kwangu ulale. Nitajilipa kupitia mambo yetu yale pendwa. Sichagui jinsia kwani dushelele langu halichagui pa kupenya, lakini
 
Njoo kwangu ulale. Nitajilipa kupitia mambo yetu yale pendwa. Sichagui jinsia kwani dushelele langu halichagui pa kupenya, lakini
Nitakuja na mabausa wawili wakutie Adabu,anda kilainishi na poo.Halafu itabidi uwapikie msosi wa kutosha hao jamaa.Mimi kwasababu sina tabia hiyo nitakuwa mtazamaji na msikilizaji wa jinsi unavyogugumia kwa maumivu ukiwa umevalia kanga moko.
 
Nitakuja na mabausa wawili wakutie Adabu,anda kilainishi na poo.Halafu itabidi uwapikie msosi wa kutosha hao jamaa.Mimi kwasababu sina tabia hiyo nitakuwa mtazamaji na msikilizaji wa jinsi unavyogugumia kwa maumivu ukiwa umevalia kanga moko.
,mimi mwenyewe mtiaji fyatu. Nasimamia show kama waendesha baiskeli wa Maganzo. Karibuni vinyeo vije viwake moto.
 
Kama hupend mikelele mingi , UNAWEZA ZAMA APO LIGA HOTEL,ndani ya Ngokolo,pia SIMEJ nako sio haba kama utaamua uchili apo LUBAGA UKABE WATOTO WA MAJENGO MAPYA USHUANI,
Usichukue guest za katikati sana ya mji sio nzuri kivile kwa nature ya mazingira japo kwa huduma ziko safi kabisa
Karibu na stendi ya mabasi yanayotoka Dar hapo Shinyanga sehemu gani ni pazuri kulala, kwa bajeti za kihangaikaji (20,000 au 25,000)?
 
Back
Top Bottom