Mikono juu tena?Karibu sana mkuu weka picha yako ukiwa umegeuka nyuma na mikono umenyosha juu
Brother Kigogo wanamuoneaUsijekuwa una nyota kama ya kaka yako Kigogo. Yeye analalamika kwa kupigwa ban kila siku, yaani hata akiwasalimia mods anakula ban
ahsanteKaribu sana JF mjukuu wetu GT.
Poa muzee kijana.ahsante
Wapi hiyo muzee?Mwidiwe!!
Nimekuwa nikipita sana JF, hatimae Leo nimejiunga rasmi kutokea Kaskazini Magharibi mwa Tanzania. Nadhani hapa nilipo, wilaya yote hii Mimi ndiyo Wa Pili kujiunga Baada ya Diwani Wa Kata.
Naomba mnipokeee.
Mwidiwe!!
Nimekuwa nikipita sana JF, hatimae Leo nimejiunga rasmi kutokea Kaskazini Magharibi mwa Tanzania. Nadhani hapa nilipo, wilaya yote hii Mimi ndiyo Wa Pili kujiunga Baada ya Diwani Wa Kata.
Naomba mnipokeee.