Umewapata? Kama bado, cheki nao kwa 0767044797Wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Nipo hapa kuwaomba kama kuna yoyote mwenyeji wa dodoma anisaidie anwani ya shule ya st.marks pre and primary school. Nitawashukuru sana waungwana maana ni swala urgent ndio maana nikawaomba wana jf