joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,037
Kimara ndiyo eneo ambalo linamfaa. Japo angekaa pale lego pia pako vizuri.Ubungo karibu na Ubungo Plaza/stendi ya zamani.
Kimara ndiyo eneo ambalo linamfaa. Japo angekaa pale lego pia pako vizuri.Ubungo karibu na Ubungo Plaza/stendi ya zamani.
nimeishi dsm kwa miaka 15, hadi nilipohama ndipo nilikuja kujua kuwa kuishi pale ni ushamba na kujitakia umasikini. dsm watu wa kawaida wanaishi maisha magumu sana lakini wao huwa hawaelewi, huwa wanaamini wanaishi vizuri kuliko watu wengine.Wenyeji wa dar washamba Sana ,,ujanja mwingi kumbe wanaishi kwa mihogo ya 200 na vitumbua vya 100 kupitisha siku
Kuna mdogo wangu Jana nimemwambia km unataka kufanikiwa usirudi Tena Dar...yaan hataki kunielewa huku akidai dar Kuna koneksheni na maneno kibao...nimeishi dsm kwa miaka 15, hadi nilipohama ndipo nilikuja kujua kuwa kuishi pale ni ushamba na kujitakia umasikini. dsm watu wa kawaida wanaishi maisha magumu sana lakini wao huwa hawaelewi, huwa wanaamini wanaishi vizuri kuliko watu wengine.
ni jiji la kimaskini, unatakiwa uishi kama umeshatengeneza pesa na kilichobaki ni kutumikisha watu wengine ili pesa yako iendelee kuwa maintained, na hao wanaotumikishwa ndio hao huwa hawataki kuondoka Dar.Kuna mdogo wangu Jana nimemwambia km unataka kufanikiwa usirudi Tena Dar...yaan hataki kunielewa huku akidai dar Kuna koneksheni na maneno kibao...
Nimemwacha aende lkn ukweli dar Ni jiji la hovyo Sana
Maendeleo ya kuwa na malaya wengi ?Hakuna sehemu yoyote ya kimara imeendelea hata kuikaribia segerea...unapaita madongo kwinama?
Hameni huko kabla mto msimbazi haujawasambaratishaTuombe radhi wakazi wa Tabata Segerea
Mna wivu na wakazi wa darnimeishi dsm kwa miaka 15, hadi nilipohama ndipo nilikuja kujua kuwa kuishi pale ni ushamba na kujitakia umasikini. dsm watu wa kawaida wanaishi maisha magumu sana lakini wao huwa hawaelewi, huwa wanaamini wanaishi vizuri kuliko watu wengine.
Kuwa na adabu unapozungumzia Segerea ama Tabata kwa ujumla!Kimara anapata usafiri kwa urahisi kuliko huko madongo kuinama Tabata Segerea
Kwa kuwa Yanga ilishinda jana, sitajibu chochoteKuwa na adabu unapozungumzia Segerea ama Tabata kwa ujumla!
Segerea ni ushuani kwa sasa! Hamna nyumba za laki kule kama Ushenzini Kimara kwenye milima na mabonde
Ubungo plaza na stands ya zamani mbona ni sehemu mbili tofautiUbungo karibu na Ubungo Plaza/stendi ya zamani.
Itabidi awe anatoka home saa kumi na Moja if anataka kuwahi..na kurudi home a aweza fika home saa tatu coz of foleni..tho tabata kuna bar nyingi na totoz piaSege mbali
Hope map inakudanganya hiyo mzee..tabata segerea to Ubungo almost 15 km...hiyo tabata hapo Itakua ni Ile ya maji chumvi au kibangu