lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,444
Kwanini asiishi sinza au Kijitonyama?
Ambapo atakuwa abapanda magari ya Kariakoo au Posta yanayopitia Shekilango road halafu anakuwa anashuka Kituo cha shekilango sokoni moja kwa moja Hadi ofisini kwa mguu.
Au akae pale Ubungo maeneo ya Kagame hotel Hadi eneo lake la kazi ni anatembea kwa mguu.
Au akae Maeneo ya Mawasiliano hadi Eneo lake la kazi anaenda kwa miguu kwa kupitia Daraja jipya la mto Ng'ombe linaloenda Ilipokuwa stand mpya ya mabasi ya Ubungo.
NB: Kwa ushauri wangu huo simshauri akakae huko segerea na Ubungo wakati Kuna option nyingi Sana zaidi ya hizo nilizotaja.
Ambapo atakuwa abapanda magari ya Kariakoo au Posta yanayopitia Shekilango road halafu anakuwa anashuka Kituo cha shekilango sokoni moja kwa moja Hadi ofisini kwa mguu.
Au akae pale Ubungo maeneo ya Kagame hotel Hadi eneo lake la kazi ni anatembea kwa mguu.
Au akae Maeneo ya Mawasiliano hadi Eneo lake la kazi anaenda kwa miguu kwa kupitia Daraja jipya la mto Ng'ombe linaloenda Ilipokuwa stand mpya ya mabasi ya Ubungo.
NB: Kwa ushauri wangu huo simshauri akakae huko segerea na Ubungo wakati Kuna option nyingi Sana zaidi ya hizo nilizotaja.