MzaramoTz JF-Expert Member Dec 13, 2017 1,829 2,986 Dec 14, 2017 #1 Habari wandugu. Natumai mko vyema kabisa. Well, mwanafamilia mwenzenu hapa naomba kukaribishwa wandugu. Najiskia faraja sana kuwa mmoja wa wanafamilia wa JamiiForums. Thanks a lot.
Habari wandugu. Natumai mko vyema kabisa. Well, mwanafamilia mwenzenu hapa naomba kukaribishwa wandugu. Najiskia faraja sana kuwa mmoja wa wanafamilia wa JamiiForums. Thanks a lot.
1kush africa JF-Expert Member Dec 13, 2016 9,326 12,691 Dec 14, 2017 #3 mmmmh, isijekuwa ulipgwa burn?
MzaramoTz JF-Expert Member Dec 13, 2017 1,829 2,986 Dec 14, 2017 Thread starter #6 bioto yona raphael said: wellcome arifu Click to expand... Thanks a lot kiongozi.
MzaramoTz JF-Expert Member Dec 13, 2017 1,829 2,986 Dec 14, 2017 Thread starter #7 1kush africa said: mmmmh, isijekuwa ulipgwa burn? Click to expand... Burn ndio nini brother...?. Mi mgeni humu nieleweshe maana ya burn aisee.
1kush africa said: mmmmh, isijekuwa ulipgwa burn? Click to expand... Burn ndio nini brother...?. Mi mgeni humu nieleweshe maana ya burn aisee.
MzaramoTz JF-Expert Member Dec 13, 2017 1,829 2,986 Dec 14, 2017 Thread starter #8 cocochanel said: Sema kwanza JF oyeeeeeee Click to expand... Okay madame. JF oyeeeeeee.
MzaramoTz JF-Expert Member Dec 13, 2017 1,829 2,986 Dec 14, 2017 Thread starter #9 Chipompo said: Ingiamo tuuuu Click to expand... Thanks kiongozi. Tuko pamoja aisee.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,038 10,684 Dec 15, 2017 #10 Karibu sana JF mjukuu wetu................
Super women 2 JF-Expert Member Nov 16, 2016 5,165 6,531 Dec 20, 2017 #12 karibu.Ila kuna uzi Fulani hivi kwa kiasi unaelezea maisha ya jf. umetolewa Leo. si mbaya ukaupitia si mbaya Utakusaidia mbeleni
karibu.Ila kuna uzi Fulani hivi kwa kiasi unaelezea maisha ya jf. umetolewa Leo. si mbaya ukaupitia si mbaya Utakusaidia mbeleni
MzaramoTz JF-Expert Member Dec 13, 2017 1,829 2,986 Dec 22, 2017 Thread starter #13 Ulimakafu said: Karibu sana JF mjukuu wetu................ Click to expand... Ahsante sana Babu/Bibi nimeshakaribia Mjukuu wako.
Ulimakafu said: Karibu sana JF mjukuu wetu................ Click to expand... Ahsante sana Babu/Bibi nimeshakaribia Mjukuu wako.
MzaramoTz JF-Expert Member Dec 13, 2017 1,829 2,986 Dec 22, 2017 Thread starter #14 Chipompo said: Aaaaa Embee karibu jf Click to expand... Hahahah, Ahsante sana mkuu.
MzaramoTz JF-Expert Member Dec 13, 2017 1,829 2,986 Dec 22, 2017 Thread starter #15 Super women 2 said: karibu.Ila kuna uzi Fulani hivi kwa kiasi unaelezea maisha ya jf. umetolewa Leo. si mbaya ukaupitia si mbaya Utakusaidia mbeleni Click to expand... Thanks a lot kiongozi. Unasemaje huo uzi mkuu. Sio mbaya kama ntapata link mkuu. Ubarikiwe sana mkuu. Thanks.
Super women 2 said: karibu.Ila kuna uzi Fulani hivi kwa kiasi unaelezea maisha ya jf. umetolewa Leo. si mbaya ukaupitia si mbaya Utakusaidia mbeleni Click to expand... Thanks a lot kiongozi. Unasemaje huo uzi mkuu. Sio mbaya kama ntapata link mkuu. Ubarikiwe sana mkuu. Thanks.