Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,269
- 40,054
Wanatakiwa vijana watano (5) wenye wazo la ushawishi la kibiashara, kila mmoja wazo lake lisizidi mtaji wa shilingi laki moja. Faida atakayoipata kwa mwenye wazo zuri, ni tutawekeza fedha na tutagawana faida 60/40. Kama wazo litakuwa zuri sana na baada ya kufanya majaribio na kuthibitisha liko vizuri; tunaweza kuongeza mtaji.
Note:
Wazo lako litakusaidia kukutengenezea ajira ya kuajiriwa, ikiwa wewe ndio utakuwa mtekelezaji chini ya usimamizi wa equation x
Note:
Wazo lako litakusaidia kukutengenezea ajira ya kuajiriwa, ikiwa wewe ndio utakuwa mtekelezaji chini ya usimamizi wa equation x