Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
In which Sex do you base ? ME or KE??
m naona km wote wezIn which Sex do you base ? ME or KE??
pole sana mdogo wangu, mapenzi ya sasa ni soko huriaAdditional point: mi yashanikuta kama hayo bana kule "SUA", kale kabinti bwana kila nikikacall kana sema kapo buzy mpaka 2300hrs night, weekend kanasema kana paper all days, mala kana meeting na department/lectures, sim kaiacha charge, sim kaisau room, sim alimpa room, sim alimuachia jirani yake, mala sim itakata sasa hivi aina charge apo saa 22oohrs-2300hrs. kumbuka apo mtu umemsaidia for 6yrs alafu ana kudelete kisela iINAUMA KINOMA.
Hivi wapendwa hamjui kuwa chuo wasichana wengi hupata degree zisizo zao kwa kufanyiwa assignment!!!! Na huwa nao wa aina tatu 1. wa madesa {masomo} 2. wa cafeteria{ yaani masuala ya mapolokochoko manjale-misosi} 3. wa ukwelikwa hiyo jitathimini wewe uko wapi?
pole mkuu, wengi huwa wanajisahau sana na kuwasahau wale wanaowapenda kweli, mapenz ya chuo yana usanii mwingi sana lakn kwa upande we2 wakina dada wengi wao wanajihusisha na wapenz wengine kwa kutaka maisha flan ambayo hana uwezo nayo, kibaya zaid wasichana wa namna hii wanaishia kwenda na mibaba mikubwa tena yenye wake na watoto.