WanaJF ninapenda sana kuwapa pole wale wote waliokuwa wanaish au wenye ndugu jamaa na marafiki bila KUSAHAU WENYE WAPENZI. imependa kuleta safu hii ili kutiana moyo kwa kile kilichotokea so kama unamfahamu m2 m2mie ujumbe wako wa pole hapa
Nawapa pole ndugu zangu, jamaa zangu na marafiki kwa ujumla. Pia nawapa ushauri kuwa Dar kuna maeneo mengi wanayoweza kufanya biashara ya mayai pia. Wasijirundike sehemu moja(Gongo la mboto), wasambae maeneo mbali mbali ya jiji ili kuepusha kutokea maafa makubwa zaidi kwa watu wa jamii moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.