Wenye uzoefu na maisha ya ndoa please nishaurini, muhimu sana

eskobas2016

Member
Jul 14, 2016
71
31
Hey guys NAOMBENI USHAURI WENU, Najua ushauri wa wengi huwa waleta uelewa na akili ya kuambiwa changanya na yako ili vitu viende sawa, mimi na mke wangu tumekuwa mbali kwa muda wa karibu miaka miwili sasa kwa kuwa yeye ni mtu wa nchi nyingine nami ni mtanzania na to be honest i really miss my wife, The thing huko aliko hana pesa wala Biashara nami hapa nilipo Bagamoyo nina vijibiashara vyangu vinavyonipa just mlo wa kila siku, However hivi juzi mke wangu ameniambia nimkatie ticket ya ndege ili aje Tanzania ambapo nimepiga mahesabu itani cost almost 2million, nimefikilia hiyo pesa si ni bora niwekeze kwenye kuongeza mtaji wa biashara na nikifanikiwa zaidi ndo nimtumie, au kama ungekuwa wewe ungefanyaje, kumtumia nauli na akija kila kitu kinakuwa juu yako kuanzia kula kwake hadi kulala as yeye hatokuwa na kazi AU umuache na hiyo pesa uongezee mtaji wa biashara hadi utakapo kuwa kibiashara ndipo umlete???? Naomba mawazo na maoni yako.
 
Duh sija kuelewa kabiasa umemuohwa kweli na pili kwao wana kutambuwa ???? Unavyo sema mkewako !!!??
 
Mh...hyo milioni unayo au huna...mana kama kuwekeza ndo umeta akili ya kuwekeza sahv baada ya kukuomba aje
Kwanza unawezaje ishi mbali na mkeo...huko alipo tena c ww unaemuhudumia...kaka upo serious kweli au hii ni hadith ya kutunga...umeoa alafu ukaacha mkeo akae mbali tena sio kikazi..du
People we differ
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom