PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,072
- 1,846
Nikawaida yangu kufikilia vitu vya kitofauti, najua kuanzisha gym station Ni gharama Sana ila mi nafikilia, hivi Nikiwa na ile mashine ya mazoezi ya kukimbia, siwezi pata wateja kweli? Yaani ile asubuhi mapema naifungua na jioni mpaka saa tano usiku, ila sijui Bei zake na Kama zinaweza patikana kwa mkopo, halafu niwe nalipia kidogokidogo. Je itawezekana? Wajuvi wa body fitness nisaidieni