Wenye uzoefu kununua bidhaa Ali express

Zeemadeit

JF-Expert Member
Oct 16, 2020
776
1,556
Habari zenu wakuu.

Muda mrefu nmekua natamani kua na biashara ya kuuza mapambo ya nyumbani. Kuanzia mapazia,maua,decorations zingine kama mito ,wallpapers etc.

Sasa leo nmepita pita kwenye website ya ali express nikaona bidhaa kidogo ni cheap. Ila hazijajumuisha gharama za kutuma mzigo(shipping cost).

Je gharama hizo hua zinakua kubwa kiasi gani. Mfano kwa mzigo usiozidi laki 5 gharama zinaweza kurange vipi? Nimewasiliana na supplier ili anipe majibu ila hajarespond bado.

Na je ni sahihi mimi kuanza biashara hii ya home decorations kwa kununua bidhaa zangu ali express.?
Karibuni mnisaidie mawazo wadau.
 
Pale pale aliaxpress kuna sehem ya shipping so ghrama zte za usafe utaziona pale
 
Pale pale aliaxpress kuna sehem ya shipping so ghrama zte za usafe utaziona pale
Kwenye bidhaa niliyochagua mimi hawakua wameweka na wameniambia niwasiliane na supplier kujua gharama halisi. Hajanijibu bado nme mtext.
 
Habari zenu wakuu. Muda mrefu nmekua natamani kua na biashara ya kuuza mapambo ya nyumbani.
Kuanzia mapazia,maua,decorations zingine kama mito ,wallpapers etc.
Sasa leo nmepita pita kwenye website ya ali express nikaona bidhaa kidogo ni cheap. Ila hazijajumuisha gharama za kutuma mzigo(shipping cost).
Je gharama hizo hua zinakua kubwa kiasi gani. Mfano kwa mzigo usiozidi laki 5 gharama zinaweza kurange vipi? Nimewasiliana na supplier ili anipe majibu ila hajarespond bado.
Na je ni sahihi mimi kuanza biashara hii ya home decorations kwa kununua bidhaa zangu ali express.?
Karibuni mnisaidie mawazo wadau.
Habari zenu wakuu. Muda mrefu nmekua natamani kua na biashara ya kuuza mapambo ya nyumbani.
>Vema

Kuanzia mapazia,maua,decorations zingine kama mito ,wallpapers etc.
>Sawasawa

Sasa leo nmepita pita kwenye website ya ali express nikaona bidhaa kidogo ni cheap. Ila hazijajumuisha gharama za kutuma mzigo(shipping cost).
>Aliexpress nunua bidhaa moja au mbili kwa mahitaji binafsi na sio kwa lengo la kuuza, kwasababu bei za kule ni za retail.

Kingine gharama ndogo huendana na quality ndogo,

>Kingine gharama ya usafiri zinaongezeka kila unapoongeza item, hata kama umenunua sindano moja ya kushonea kama iliandikwa itasafirishwa kwa 500 ukiongeza sindano ingine bei usafiri ita double.


Je gharama hizo hua zinakua kubwa kiasi gani. Mfano kwa mzigo usiozidi laki 5 gharama zinaweza kurange vipi? Nimewasiliana na supplier ili anipe majibu ila hajarespond bado.
>Mzigo usiozidi laki 5 ni mdogo sana, usafiri wa bidhaa za aliexpress nyingi ni kwa air freight japo unaweza wasiliana na seller zikapita majini ambako ni nafuu.

Na je ni sahihi mimi kuanza biashara hii ya home decorations kwa kununua bidhaa zangu ali express.?
Karibuni mnisaidie mawazo wadau.
>Kwa ushauri wangu naona sio sahihi, kwasababu hizi:

1. Mtaji ni mdogo sana kwa nature ya biashara unayotaka kufanya.
2. Ungeanza biashara kwa kununua kwanza hapa hapa ukiona kuna ulazima wa kuagiza nje basi iwe hivyo
3. Siku ingine tumia alibaba kama unataka vitu kwa jumla
4. Bei na picha nzuri zisikupagawishe kuna bidhaa nyingi nzuri pichani na kwenye bei tu ila katika uhalisia ni takataka.
 
Habari zenu wakuu. Muda mrefu nmekua natamani kua na biashara ya kuuza mapambo ya nyumbani.
>Vema

Kuanzia mapazia,maua,decorations zingine kama mito ,wallpapers etc.
>Sawasawa

Sasa leo nmepita pita kwenye website ya ali express nikaona bidhaa kidogo ni cheap. Ila hazijajumuisha gharama za kutuma mzigo(shipping cost).
>Aliexpress nunua bidhaa moja au mbili kwa mahitaji binafsi na sio kwa lengo la kuuza, kwasababu bei za kule ni za retail.



>Kingine gharama ya usafiri zinaongezeka kila unapoongeza item, hata kama umenunua sindano moja ya kushonea kama iliandikwa itasafirishwa kwa 500 ukiongeza sindano ingine bei usafiri ita double.


Je gharama hizo hua zinakua kubwa kiasi gani. Mfano kwa mzigo usiozidi laki 5 gharama zinaweza kurange vipi? Nimewasiliana na supplier ili anipe majibu ila hajarespond bado.
>Mzigo usiozidi laki 5 ni mdogo sana, usafiri wa bidhaa za aliexpress nyingi ni kwa air freight japo unaweza wasiliana na seller zikapita majini ambako ni nafuu.

Na je ni sahihi mimi kuanza biashara hii ya home decorations kwa kununua bidhaa zangu ali express.?
Karibuni mnisaidie mawazo wadau.
>Kwa ushauri wangu naona sio sahihi, kwasababu hizi:

1. Mtaji ni mdogo sana kwa nature ya biashara unayotaka kufanya.
2. Ungeanza biashara kwa kununua kwanza hapa hapa ukiona kuna ulazima wa kuagiza nje basi iwe hivyo
3. Siku ingine tumia alibaba kama unataka vitu kwa jumla
4. Bei na picha nzuri zisikupagawishe kuna bidhaa nyingi nzuri pichani na kwenye bei tu ila katika uhalisia ni takataka.
Kuna utofaut gan mkubw uliopo kat ya aliexpress na alibaba.!?!
 
Habari zenu wakuu. Muda mrefu nmekua natamani kua na biashara ya kuuza mapambo ya nyumbani.
>Vema

Kuanzia mapazia,maua,decorations zingine kama mito ,wallpapers etc.
>Sawasawa

Sasa leo nmepita pita kwenye website ya ali express nikaona bidhaa kidogo ni cheap. Ila hazijajumuisha gharama za kutuma mzigo(shipping cost).
>Aliexpress nunua bidhaa moja au mbili kwa mahitaji binafsi na sio kwa lengo la kuuza, kwasababu bei za kule ni za retail.



>Kingine gharama ya usafiri zinaongezeka kila unapoongeza item, hata kama umenunua sindano moja ya kushonea kama iliandikwa itasafirishwa kwa 500 ukiongeza sindano ingine bei usafiri ita double.


Je gharama hizo hua zinakua kubwa kiasi gani. Mfano kwa mzigo usiozidi laki 5 gharama zinaweza kurange vipi? Nimewasiliana na supplier ili anipe majibu ila hajarespond bado.
>Mzigo usiozidi laki 5 ni mdogo sana, usafiri wa bidhaa za aliexpress nyingi ni kwa air freight japo unaweza wasiliana na seller zikapita majini ambako ni nafuu.

Na je ni sahihi mimi kuanza biashara hii ya home decorations kwa kununua bidhaa zangu ali express.?
Karibuni mnisaidie mawazo wadau.
>Kwa ushauri wangu naona sio sahihi, kwasababu hizi:

1. Mtaji ni mdogo sana kwa nature ya biashara unayotaka kufanya.
2. Ungeanza biashara kwa kununua kwanza hapa hapa ukiona kuna ulazima wa kuagiza nje basi iwe hivyo
3. Siku ingine tumia alibaba kama unataka vitu kwa jumla
4. Bei na picha nzuri zisikupagawishe kuna bidhaa nyingi nzuri pichani na kwenye bei tu ila katika uhalisia ni takataka.
Ahsante sana kwa ushauri.
 
Kuna utofaut gan mkubw uliopo kat ya aliexpress na alibaba.!?!
alie express kule vingi ni retail/reja reja Na kila bidhaa unayo nunua gharama za usafir hujitegemea tofaut na Alibaba ambapo wao hufanya WholeSale/Jumla Jumla
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom