MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Nalisema hili kwa sababu Wapinzani hawataona taabu kubadili katiba, hawataona taabu kumwajibisha mwizi ambaye sio sehemu yao, watataka waseme ukweli wa kike wanachokitenda. Hawatataka kupoteza tena kupoteza nafasi zao za kuwaongoza wananchi.
Kupitia hili, ndio maana utafiti wa TWAWEZA unabainisha kua werevu na wasomi wenye elimu kubwa ndio wanapenda zaidi na kuelewa upinzani, Wasiokua na elimu na Wazee ndio wanaipenda na kuielewa zaidi CCM.
Sina neno zaidi!
Kupitia hili, ndio maana utafiti wa TWAWEZA unabainisha kua werevu na wasomi wenye elimu kubwa ndio wanapenda zaidi na kuelewa upinzani, Wasiokua na elimu na Wazee ndio wanaipenda na kuielewa zaidi CCM.
Sina neno zaidi!