Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
napatikana wapi?kampuni yetu ya african capital, tunatoa mikopo ya haraka ndani ya saa24 , kwa wafanyakazi wa serikali na sekta rasmi .. hauhitaji kuweka dhamana ya mali au kuwa na wadhamini.
unachotakiwa ni kuwa na salary slip za miez mitatu ya karibuni, id ya uraia, id ya kazi na p/size pamoja na bank statement ya miezi mitatu ya karibuni.
wenye uhitaji wa mkopo wanipim .
karibuni
Posta sehemu ganiOFISI IKO POSTA, DSM
Mwanza mnapatikana wapi?jengo la elite building,, kama uko serious nchek pm
Mwanza mko sehemu gani?OFISI IKO POSTA, DSM
Hebu wekeni riba zenu wazi isije ikawa beipoti no.2
We kiwango cha riba watu tukijue,unaposema hamna mkuu ni riba ndogo unamaanisha nini? 2% ya mkopo?hamna mkuu riba zetu ni nzuri sana ,, karibu
Riba ni asilimia ngapi?kampuni yetu ya african capital, tunatoa mikopo ya haraka ndani ya saa24 , kwa wafanyakazi wa serikali na sekta rasmi .. hauhitaji kuweka dhamana ya mali au kuwa na wadhamini.
unachotakiwa ni kuwa na salary slip za miez mitatu ya karibuni, id ya uraia, id ya kazi na p/size pamoja na bank statement ya miezi mitatu ya karibuni.
wenye uhitaji wa mkopo wanipim .
karibuni
Ok nikikopa milioni 5 nalipa sh ngapi, kwa muda ganihamna mkuu riba zetu ni nzuri sana ,, karibu