Umetumia mbinu gani mkuuHalotel imetiki
Nyie mnafanyaje y kwangu inakataaHakika imekubaliii.. Halotel !! Shukrani kwa bonge la connection !!!
Umehakiki vipi imei?Tigo Wamenipa GB6.. Nimejaribu vitu vingi ila finally nimefanikiwa...
Kuhusu kasi ya internet naona iko sawa tu japo sikuwa naitumia hii line. Ni vile nimejaribu tu.
Mwenye swali aulize. 😄
View attachment 1985990
Mkuu umejaribu vitu vingi ndo vitu gani, na simu gani unatumia maana kuna bàadhi ya simu ndo inakubaliTigo Wamenipa GB6.. Nimejaribu vitu vingi ila finally nimefanikiwa...
Kuhusu kasi ya internet naona iko sawa tu japo sikuwa naitumia hii line. Ni vile nimejaribu tu.
Mwenye swali aulize. 😄
View attachment 1985990
Sijahakiki Imei. Labda kama simu ni line mbili ujaribu line 1 & 2 huenda upande mmoja wapo ukakubaliUmehakiki vipi imei?
Jaribu kuweka salio la kawaida lisilopungua 1,000 kisha jiunge na kifurushi chochote kisichopungua 1,000.Mkuu umejaribu vitu vingi ndo vitu gani, na simu gani unatumia maana kuna bàadhi ya simu ndo inakubali
Mkuu, mimi kuna watu nimewarushia hiyo app ya HALO PESA kutoka kwenye simu yangu (yaani hiyo app niliyonayo kwenye simu yangu) kwa WhatsApp, bluetooth na xender, inakubali.Halopesa hawapendi ujinga kabisa wameamua kutoa kabisa ila siku ikirudi wanarudi kivingine kabisa
Nafikiri wamekiuka baadhi ya kanuni za ushindani wa biashara maana GOOGLE PLAY SERVICE wakiona rate inakuwa kubwa lazima wafanye upelelezi na wamejua kwamba wanatumia MLUNGULA KWA KUPATA DOWNLOADER OR VIEW
Umefanyaje mkuuHakika imekubaliii.. Halotel !! Shukrani kwa bonge la connection !!!
Nitumie DM mkuuMkuu, mimi kuna watu nimewarushia hiyo app ya HALO PESA kutoka kwenye simu yangu (yaani hiyo app niliyonayo kwenye simu yangu) kwa WhatsApp, bluetooth na xender, inakubali.
Hakuna cha kuhakiki, wewe usichoke kila siku jaribu tu finally itakubali.Hiyo number ya Imei inahakikishwa namna gani
Pia hakikisha unatazama salio kila ukimaliza kutuma msg. Maana kwa upande wangu mimi hawakunitumia msg ya kuunganishwa kifurushi ila nilipocheki salio ndipo nikakuta tayari.Mkuu umejaribu vitu vingi ndo vitu gani, na simu gani unatumia maana kuna bàadhi ya simu ndo inakubali