johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,561
Hata Mbowe akija tutamuachia ubunge wake!Kama ambavyo magufuli anawafanya hamna hata wa kumhoji tangu lini gekul na kalanga wakawa na nguvu kushinda nyie watetezi wa chama wa muda mrefu? Wanachukua ubunge kwa ubua sana nyie mnabak macho tu si umemuona katambi na machali