YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Mji wowote huwa kuna maeneo tofauti huwa kuna maeneo ya high class ,middle class na low class
Kwa Dar es salaam Sinza ilipangiliwa ikapangika kuwa eneo la middle class la kuishi watu wenye heshima zao.Na kweli watu wenye heshima zao wakajenga vizuri tu
Tatizo likaanza law wenye nyumba kuanza kupangisha nyumba malaya.
Tabata pia ilikuwa sehemu ya watu wa heshima middle class kuishi ila kwa sasa limekuwa ni danguro la jiji kumejaa makahaba kila kona shauri ya wenye nyumba kupangisha malaya.
Hadhi ya Tabata imeshusha kama Sinza ilivyoshushwa
Makahaba Wameharibu Tabata kama walivyoharibu Sinza ambayo nayo ilikuwa sehemu ya heshima ya Middle Class
Kwa Dar es salaam Sinza ilipangiliwa ikapangika kuwa eneo la middle class la kuishi watu wenye heshima zao.Na kweli watu wenye heshima zao wakajenga vizuri tu
Tatizo likaanza law wenye nyumba kuanza kupangisha nyumba malaya.
Tabata pia ilikuwa sehemu ya watu wa heshima middle class kuishi ila kwa sasa limekuwa ni danguro la jiji kumejaa makahaba kila kona shauri ya wenye nyumba kupangisha malaya.
Hadhi ya Tabata imeshusha kama Sinza ilivyoshushwa
Makahaba Wameharibu Tabata kama walivyoharibu Sinza ambayo nayo ilikuwa sehemu ya heshima ya Middle Class