Jamani babu na mjukuu wake hawa!!!
unawakumbuka walee wa kule........
hawa vibabu nasikia wanajua ku handle wajukuu zao balaa
Uzee mwisho Chalinze, mjini wote vijana.
Nani anaibiwa?Wizi wa mchana huu
kwa hiyo huyo babu nae anakubali kuitwa bebi....
Anachunwa tu babu