Wenye Nchi ya Tanzania ni wananchi Watanzania sio Maria Sarungi na Jenerali Ulimwengu

"Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu. kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu badala ya Watiifu"
Kati ya hayo ni yapi ambayo sio kweli?Ni yapi ambayo hukubaliani nayo? Ungejikita katika kuzibomoa hizi hoja kwa hoja zenye nguvu ungeelewaka zaidi badala kushambulia utu na uraia wa hao waliowasilisha,Maria sio raia wa Tanzania? Jenerali sio raia wa Tanzania? kutuhumiwa kunamuondelea uraia wake? Mbona Kakobe alituhumiwa na tunamuona mpaka Ikulu akishauri nchi iendeshwaje?
Ni ushamba tu unawasumbua ninyi.
View attachment 1028042
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali. Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.
Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu. kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.


Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.
Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kila Mtu anaweza kusikiliza au kusoma na aka elewa Falsafa ,inawezekana kabisa wewe ndio hauja elewa Mkuu.Sijaona hata moja ulilo likosoa kwa Hoja ambalo lilitamkwa au kusemwa na walioandaa hilo Jambo.Zaidi umewa jadili Watu kwa Rangi zao na blah blah za hapa na pale.

Kichwa cha Habari yako kinaonesha usivyo elewa hao ulio wazungumzia nao wanayo Haki Kikatiba kama Wananchi wengine wa Tanzania kutoa Maoni yao.
Hawana uelewa hao. Wamekaririshwa kuwa uzalendo ni kumshabikia kiongozi hata kama unaperekwa shimoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1028042
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali. Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.
Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu. kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.


Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.
Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.
Haya kanye ukalale buku 7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Your stupidity has no limits
Wapuuzwe mara ngapi? Nakuhakikishia wangekuwa walijikausha kimya Bila longo longo na uraia tata wao Ulimwengu angeweza kufikia hadi cheo cha Waziri mkuu nyota yake ilivyokuwa iking'ara enzi zake.Na huyo Maria Sarungi angekuwa hata balozi mkubwa mno hata kimataifa kuwa balozi mkubwa wa Tanzania ana akili nyingi ambazo kaziharibu mwenyewe na kuziweka na kujiweka mwenyewe kwenye Dustbin.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chunguza kwanza vizuri kama huyo aneyepaswa kutoa hiyo elimu ya mafunzo ya kujikwamua kama anafanya kazi yake sawa sawa ndipo urudi kuandika upya.
Walijipatia maji ya kunywa spesho (chupa) tu. Vijana wa kitanzania wanahitaji Elimu ya mafunzo katika kujikwamua katika changamoto za kila siku na sio hizi propaganda Uchwara za hawa wazandiki. Maana mwisho wa siku wanawajaza upepo wee wakiingia barabarani au wakiangukia mikononi mwa Vyombo vya Dola haoenekani Maria Sarungi wala Jenerali Dunia Central Police au Mahakamani.
Vijana kataeni kutumika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili yako iko tenge wewe, kafuatilie vizuri waliozitafuna na wanaondelea kuzitafuna kodi zenu,anza na ripoti ya CAG.
Watanzania tumekuwa watu wa ajabu sana kwa kukubali kuchezewa na wajanja fulani kwa manufaa yao Binafsi.
Hao kina Maria Sarungi & Co wamekulia kwenye mfumo huo na kuzitafuna ipasavyo pesa za walipa kodi. Hawana chembe ya uwanaharakati bali kuhadaa vijana wasio na matumaini ya maisha.
Maria Sarungi & Co hawajui shida ni nini...hawajui adha ya usafiri wa madaladala..hawajui adha ya huduma ya afya n.k. Kwa sababu hawajapitia hayo yote.
Wanachojua wao ni Tweeter na kutafuta Kiki za kipuuzi.
Vijana wa kitanzania kataeni kutumika na hawa Wanaharakati Uchwara. Mwisho wa siku litakalokukuta utapambana nalo Wewe na familia yako.....hautamuona Maria wala Fatma pale sentro au Mahakamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa anasimami nini? Utakuwa umelishwa Matango pori wewe

Tatizo lenu lumumba buku 7fc mnadhani ili mtu apate habari ni lazima aambiwe. Si kila mtu anaechangia hapa ni mbumbumbu. Namfahamu huyo mzee tangu anaitwa Twaha. If you care to use your head that fact should tell you a lot.
 
Unafiki mkubwa sana unaoufanya we mleta uzi. Mbona hujatuletea yaliyozungumzwa huko New Africa Hotel? Leta hapa tulinganishe na maelezo yako. Sio kuleta unafiki na uzushi
 
Tumeamka hatudanganyiki wataitisha maforums kibao, sie tunahudhuria tunawacheki tunasema hiiiiiiiiiiii JPM forever
 
View attachment 1028042
View attachment 1028043
View attachment 1028044
Jana Tarehe 20/02/2019 Taasisi ya Change Tannzania ya Mwaharakati Maria Tsehai Sarungi iliandaa Kongamano la kujadili kile walichokiita wajibu wao kwa Serikali. Kongamano hilo lilifadhiliwa na Foundation For Civil Society (FCS), Twaweza, Taasisi ya HIVOS kutoka Uholanzi na Open Society Initiative For East Africa (OSIEA). Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yao ilikuwa ni Wenye nchi ni Wananchi' alikuwa ni generali Ulimwengu.
Nilifuatilia Mjadala wote wa Kongamano hilo na kimsingi nilichogundua ni kwamba Vijana wale waliokusanyika pale walikuwa wajazwa misemo kibao ambayo haina kichwa wala miguu. Kwamba Uanaharakati ni ishara ya mtu kuwa hai na kutokuwa Mwanaharakati ni ishara ya kuwa mfu. kwamba kati ya Utii na Uaminifu, vijana wachague kuwa Waaminifu bada ya Watiifu. Ni ujinga ujinga tu ilimradi kuwafurahisha Wafadhili wao na kulazimisha Watu wafanye vurugu nchini mwao.


Uwasilishaji wa Mada wa kiwango chini kabisa ambao sijawahi kuuona, Vijana wakabaki kung''aang'aa macho na kupiga Miayo hovyo hovyo.

Hivi kweli Serikali inayowapigania Watanzania kama hii ya awamu ya tano inaweza kudhoofishwa kwa kuwashawishi Vijana ujinga kama ule?

Hawa Change Tanzania wanafadhiliwa na Taasisi za ndani na nje badala ya kutumia Ufadhili huo kwa Mambo ya Msingi, wanakwenda kuwavalisha T-Shirt na kuwahadaa Vijana pale 'New Africa Hotel' kwa mambo ya hovyo hovyo.

Niwaase Vijana nchini kutokubali kutumiwa na akina Sarungi. Wamechukua picha Video wakawaoneshe Wafadhili ili wawape Fedha huku Vijana wakibaki wkishangaa.

MAria Sarungi mama yake ni Mpoland Baba ndiye Mtanzania (Mjaluo wa Rorya). Jenerali Ulimwengu aliwahi kukumbwa na tuhuma za kutokuwa Raia wa Tanzania. Wote hawa wana pakukimbilia endapo watafanikiwa kuiingiza nchi kwenye Machafuko.
Wale Vijana mliokuwa pale New Afrika jana ni kweli kabisa Wenye nchi ni Wananchi(JPM, Mimi na Ninyi) lakini siyo hawa wenye Rangi mbili tuwe makini,
Akili za kuambiwa na Watanzania Makanjanja (MARIA SARUNGI na JENERALI ULIMWENGU), Watanznia halisi tuchanganye na za Kwetu.
mbinu zenu za kutisha tisha watu zimepitwa na wakati...jibini hoja
 
Back
Top Bottom