Wenye mpango wa kumhujumu RC Makonda hawa hapa

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,249
21,345
Habari wadau;

Kuna kundi la wanufaika wa uhalifu, matapeli, mashoga na wanufaika wake kwa kushirikiana , wameanzisha propaganda chafu za kumdhihaki mkuu wetu bora ambaye anasafisha jiji lililokuwa limegeuzwa dampo la kila aina ya uozo.

Kuna watu maisha yao yote yalikuwa ni udalali na utapeli, Watanzania tujiulize hivi wewe kama ni mtu mwema makonda kafanya lipi baya? Rc makonda anamakusudi ya dhati ya kuliweka jiji safi na kwa hilo nauhakika atafanikiwa, asigeuke nyuma kamwe.

Ana mpango wa dhati wa kuwasaidia vijana kupata ajira na kuwatengenezea fursa mbalimbali, Je atawezaje Pasipo kuwa na Takwimu ya wasio na ajira? Wapinzani wanajuwa kabisa endapo atafanikiwa yote anayoyafanya, ni dhahiri kabisa upinzani utakuwa umekufa. Watuambie ni nani anafaa mwingine zaidi ya Makonda?

Eti sasa hivi wanasema bora ya aliyekuwa mkuu wa mkoa MECKY SADICK, Jiulize alipokuwepo mbona walimponda? Waogopeni hao wanafiki Makonda tunamwamini ataendelea kuziba mianya ya waharifu bila uwoga. Naomba mtambue kwamba Wapenda uharifu,wakwepa kodi na Mashoga hawapendezwi na utendaji wa Mkuu wetu mtukufu; MAKONDA GO! GO! GO! Wengi tukonyuma yako.

WALIOZOEA VYA KUNYONGA SASA HIVI VYA KUCHINJA KWAO NI HARAMU NI WA KUPUUZWA
 
Habari wadau;

Kuna kundi la wanufaika wa uhalifu,matapeli,mashoga na wanufaika wake kwa kushirikiana na nyumbu na viongozi wao, wameanzisha propaganda chafu za kumdhihaki mkuu wetu bora ambaye anasafisha jiji lililokuwa limegeuzwa dampo la kiila aina ya uozo. Kuna watu maisha yao yote yalikuwa ni udalali na utapeli, Watanzania tujiulize hivi wewe kama ni mtu mwema makonda kafanya lipi baya? Rc makonda anamakusudi ya dhati ya kuliweka jiji safi na kwa hilo nauhakika atafanikiwa, asigeuke nyuma kamwe. Ana mpango wa dhati wa kuwasaidia vijana kupata ajira na kuwatengenezea fursa mbalimbali, Je atawezaje Pasipo kuwa na Takwimu ya wasio na ajira? Wapinzani wanajuwa kabisa endapo atafanikiwa yote anayoyafanya, ni dhahili kabisa upinzani utakuwa umekufa. Watuambiye ni nani anafaa mwingine zaidi ya makonda? Eti sasa hivi wanasema bora ya aliyekuwa mkuu wa mkoa MECKY SADICK , Jiulize alipokuwepo mbona walimponda? Waogopeni hao wanafiki Makonda tunamwamini ataendelea kuziba mianya ya waharifu bila uwoga. Naomba mtambue kwamba Wapenda uharifu,wakwepa kodi na Mashoga hawapendezwi na utendaji wa Mkuu wetu mtukufu; MAKONDA GO! GO! GO! Wengi tukonyuma yako.

WALIOZOEA VYA KUNYONGA SASA HIVI VYA KUCHINJA KWAO NI HARAMU NI WA KUPUUZWA

Pole uelewa wako mdogo sana....
 
Kumbe wapinzani ndo walioligeuza jiji la Dar kuwa dampo hapo kabla ya Makonda????usichokielewa na unachotaka kuwaaminisha watu ni kuwa polisi ndiyo wamegeuka watu wa TAKWIMU,sheria zipo wazi za kufanya inspection nyumba kwa nyumba usikurupuke!!!!!!!!! Makonda kwenye hili kateleza tusiwalaumu wapinzani kwenye hili
 
Makonda sio kiongozi bora anabebwa hafai na hawezi uongozi kwani hakuna alilofanikiwa unapoona kiongozi anatoa maagizo yasiyotekelezeka na kua na mashiko basi ana matatizo sana atulize kichwa tutamuunga mkono akiwa na papara ataondoka mapema sio kwamba ana ushawishi kwa mamlaka iliyomteua kutuzidi hapana.
 
We we dmkaki huyo MKUU kila kukicha matamko tu Mara Nyumba Kwa Nyumba je akikwambia hana Kazi una Kazi ya kumpa?
Umeelewa lengo na mpango huo ni nini? msilaumu pasipo kujuwa lengo ni nini. anampango mzuri sana kwa wasio na ajira wapate fursa.
 
Makonda sio kiongozi bora anabebwa hafai na hawezi uongozi kwani hakuna alilofanikiwa unapoona kiongozi anatoa maagizo yasiyotekelezeka na kua na mashiko basi ana matatizo sana atulize kichwa tutamuunga mkono akiwa na papara ataondoka mapema sio kwamba ana ushawishi kwa mamlaka iliyomteua kutuzidi hapana.
NI MAAGIZO GANI HAYATEKELEZEKI? EBU YATAJE
 
Umeelewa lengo na mpango huo ni nini? msilaumu pasipo kujuwa lengo ni nini. anampango mzuri sana kwa wasio na ajira wapate fursa.

Mmmmmmhhh... Huo mpango kuna haja ya kuhusisha na polisi wenye silaha?, Mbona mpango ukiwekwa wazi wasio na ajira watajisalimisha wenyewe kuandikishwa.
 
Aseme wasio kuwa na ajira waende awape siyo tu kwakuwa ni Makonda hata akila mavi nasi tutake tule kwakuwa Makonda hebu jaribu hata kubust akili zako yani lengo zuri kwakuhusisha Jeshi LA polisi all behind Makonda R.I.P
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom