Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waziri mkuchika amewataka wale wote wenye majina ya watu walioficha fedha uswisi wawataje ili washughulikiwe.
Itv habari
Mie, siwajui! Uswizi wametoa masharti magumu ili kushilikiana na selikari dhaifu kuwabaini hao watu.
Hosea amesema wanataka watu woote wenye majina yao wampelekee ili waanze kuyashuhulikia, na hatua zichukuliwe.
Hapa naona wameanza kuweka vizuizi!
wala siyo magumu hiyo ndiyo itifaki yenyewe...benki haziendeshi kwa majungu na umbea..hizo ni akaunti na fedha halali mpaka sasa unless proven otherwise na tz kuwa kuna tatizo na umiliki wa hizo akaunti pamoja na hela zake. kwa vile wanaomiliki hizo akaunti wamewahi kuwa wafanyakazi wa serikali na walijaza fomu za mali na fedha walizonazo na wanavyozipata itakuwa rahisi kama tz wana takwimu zao na kuiambia uswisi kuwa takwimu zetu hazionyeshi watu hao kuwa na kiasi hicho cha fedha.
waziri mkuchika amewataka wale wote wenye majina ya watu walioficha fedha uswisi wawataje ili washughulikiwe.
Itv habari