Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,786
- 13,560
Kuna Nzi kaja katua puani kwangu afu nna stress nimejipiga bonge la kibao na sijampata.
Halafu ikakuuma sana.Asee..kuna ka hausegirl kangu nmekarudisha kwao...kaligawa sana k mtaani
Roho mbaya,Asee..kuna ka hausegirl kangu nmekarudisha kwao...kaligawa sana k mtaani
🤔🤔🤔ajifkirie atanipa nini cha Kupunguza Hasira zangu
Usiombe hg akunyime papa alafu agawe kwa majirani utafukuza tu.Halafu ikakuuma sana.
Kama umemuoa vile
Yha..anaacha mtoto ndani anaenda pigwa mitiKugawa k ndo sababu pekee imekufanya umrudishe?
Pumbavu..!!Ungeishia kuandika title tu ilikuwa imeeleweka.
Najua kuwa Suala la Kodi limetuumiza wengi hivyo kama 'Game Changer' nikaona niwatoe huko kidogo na mburudike huku kwa 'Ukomedi' kidogo nikiamini ukicheka ( mkicheka ) Hasira zenu zitapungua. Kuna muda nikiona JF imepigwa 'Ganzi' nalazimika kuja na Kitu cha 'Kuburudisha' na cha 'Mjadala' pia ili tu Maisha yaende Rafiki yangu.Yaani nimeumizwa na kodi ya miamala na wewe unataka uniue kwa kicheko?
Anatuzuga tu huyo Mkuu itakuwa aliomba 'Mbunye' yake 'Hausigeli' na 'akatoswa' Kimtindo na Kumtimua.Kugawa k ndo sababu pekee imekufanya umrudishe?
Pumbavu..!!
Tangia uanze 'Kufumuliwa' kunako "Unyabeni' Kwako umekuwa si tu Mpumbavu hivyo bali Taahira kabisa.Nyeto moja tu ingeliepusha Taifa na hasara hii, najua kondomu asingeweza kununua.