Hoja hapa ni kwa nini mhudumu ashikilie pump na asiiachie mafuta ya flow yenyewe hadi ikate ??abane pump au aachie yote ni sawa
nenda na kidumu cha lita4 mwambie abane km anavyoiba mafuta ni yale yale
sanasana wanaogopa mashine inaweza kufail na mafuta yakakuzidia
je yaliyozido utalipia?
Itategemea na gari mkuu usituaminishe ujingaKabisa mkuu, GBP wakopoa sana ukiweka 20000 utatembea kilometer nyingi tofauti na sheli nyingine.
Marayakwanza sikuamini hadinilivyo rudia tena maana nilishangaa kuona mshale umepanda kwenye point tofauti na ninapoweka sheli nyingine.
Hawana ubabaishaji.
Na sie tunaoweka ful tank wanatuibiaje mkuu!?Wakuu,
Kutokana na vyuma kukaza na havina expansion joints nimekua makini sana kwenye kuweka mafuta kwenye gari.
Nikagundua kituo fulani fulani wanaiba sana, niliowa experience ni Oilcom Magomeni Kagera, Oilcom Ubungo mataa na Morroco pale niliweka mafuta Oilcom Magomeni Kagera kuna mdada anakitumbo kikubwa sana kaniibia kwakua anaibinya pump kupunguza outlet flow.
Hivyo hivyo Ubungo Oilcom na Morroco, sasa kuanzia leo, nilikifika filling station nashuka na ninamwambia aachie pump.
Ushauri wangu pia kwenu mkifika filling stations please hata kama unaweza mafuta ya 4000 shuka na akiset amount ya pesa mwambie aachie pump ijikate yenyewe, kumuacha aishike wanawaibia sana, mi nimepigwa three times.
Blue monday
nenda na kidumu ndio mkomboziWakuu,
Kutokana na vyuma kukaza na havina expansion joints nimekua makini sana kwenye kuweka mafuta kwenye gari.
Nikagundua kituo fulani fulani wanaiba sana, niliowa experience ni Oilcom Magomeni Kagera, Oilcom Ubungo mataa na Morroco pale niliweka mafuta Oilcom Magomeni Kagera kuna mdada anakitumbo kikubwa sana kaniibia kwakua anaibinya pump kupunguza outlet flow.
Hivyo hivyo Ubungo Oilcom na Morroco, sasa kuanzia leo, nilikifika filling station nashuka na ninamwambia aachie pump.
Ushauri wangu pia kwenu mkifika filling stations please hata kama unaweza mafuta ya 4000 shuka na akiset amount ya pesa mwambie aachie pump ijikate yenyewe, kumuacha aishike wanawaibia sana, mi nimepigwa three times.
Blue monday
Leo dada mmoja hapo alitaka kunifanyia wizi wa kitoto sana, ila nilimgundua na nikamwita, na aliomba msamaha sana. Nimemsamehe.......Tembelea vituo vya VICTORIA SERVICE STATIONS hutojuta
Wale WALOKOLE kweli wanamaanisha
Ila vituo vya OILCOM ni kwamba unaamua mwenyewe kubeba Risk.
ila uko vizuriMimi siku hizi nmeona bora niwe najaza full tank tu...natumia mpk taa iwake ndio nijaze tena
Oilcom karibia zote walishajiaribia jina, ndio maana hata wateja sio wengi kama petrol station zingineWakuu,
Kutokana na vyuma kukaza na havina expansion joints nimekua makini sana kwenye kuweka mafuta kwenye gari.
Nikagundua kituo fulani fulani wanaiba sana, niliowa experience ni Oilcom Magomeni Kagera, Oilcom Ubungo mataa na Morroco pale niliweka mafuta Oilcom Magomeni Kagera kuna mdada anakitumbo kikubwa sana kaniibia kwakua anaibinya pump kupunguza outlet flow.
Hivyo hivyo Ubungo Oilcom na Morroco, sasa kuanzia leo, nilikifika filling station nashuka na ninamwambia aachie pump.
Ushauri wangu pia kwenu mkifika filling stations please hata kama unaweza mafuta ya 4000 shuka na akiset amount ya pesa mwambie aachie pump ijikate yenyewe, kumuacha aishike wanawaibia sana, mi nimepigwa three times.
Blue monday
Kwenye kidumu hawawekinenda na kidumu ndio mkombozi
ma nafikiri wezi wa mafuta hucheza na control panelyenyewe, mfano : anaweza set kuwa kwenye decimal points i charge kiwango cha juu, hipo anapiga points balaaMkuu, ebu naomba utupe Mechanical tricks ambazo hawa wenye mafuta station hutumia ili kuwaibia wateja.
Kwamfano, wanapo kua wameset amount ya pesa unayo lipia, pale kwenye control panel ina comvart to mafuta liters...
Hapo tayari pump inakua imesha waka kwa kua commanded kwenye control panel, hivyo basi...... pale mhudumu anapo shikilia ile kukuwekea kwenye tank, anaruhusu tu kwakubonyeza/kuruhusu value ifunguke ili mafuta yaanze kutoka.
Kumbuka kwamba hakuna mahusiano kati ya kile anacho bonyeza/ruhusu valve kufungua mafuta yatoke na control panel inayo hesabu fedha yako na ama kiasi cha mafuta inayo kua commanded.
Inamaana kwenye kisima kuna upepo mkubwa sanaWanapocheza na pump yanapita mafuta na upepo,outlet inapungua lakini display inasoma unachotaka
eti nini mkuu hahahahaAhsante Mkuu kwa Taarifa, mimi nilianza kuliogopa Subaru langu kumbe ni watu wa mafuta ndio wanafanya tuone matumizi ya mafuta ni makubwa
Lol, sasa asiposhika pump halafu ikafyatuka na mafuta kumwagika hasara itakua ya nani??Hoja hapa ni kwa nini mhudumu ashikilie pump na asiiachie mafuta ya flow yenyewe hadi ikate ??
ndiyoInamaana kwenye kisima kuna upepo mkubwa sana
Haya basi kwa kuzibitisha jambo hilo,, basi kunaukweli maana umesema wewendiyo