tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,810
- 18,241
Hivi mkuu wewe kwanini unatetea wezi bila aibu?Mkuu, ebu naomba utupe Mechanical tricks ambazo hawa wenye mafuta station hutumia ili kuwaibia wateja.
Kwamfano, wanapo kua wameset amount ya pesa unayo lipia, pale kwenye control panel ina comvart to mafuta liters...
Hapo tayari pump inakua imesha waka kwa kua commanded kwenye control panel, hivyo basi...... pale mhudumu anapo shikilia ile kukuwekea kwenye tank, anaruhusu tu kwakubonyeza/kuruhusu value ifunguke ili mafuta yaanze kutoka.
Kumbuka kwamba hakuna mahusiano kati ya kile anacho bonyeza/ruhusu valve kufungua mafuta yatoke na control panel inayo hesabu fedha yako na ama kiasi cha mafuta inayo kua commanded.