Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Yatupasa kujua matumizi sahihi ya vyombo vyetu vya usafiri hasa magari haya binafsi .
Kuna tabia ya mtu yuko kwenye gari anakwenda kwenye meza ya maembe au matikiti anataka kila kitu apewe akiwa kwenye gari, bila kuangalia ufinyu wa barabara au gari zilizo nyuma yake pamoja na watumuaji wengine wa barabara.
Unapotaka kufanya shopping ni vema ukatafuta parking ukanunua vitu ukachukua gari ukaondoka.
Unakuta mtu anasababisha foleni kubwa ukichunguza unakuta jitu limesimama anakula pande la tikiti bila hata aibu akijua amezuia wengine kupita.
Kumbuka uvivu utakusababishia magonjwa yasioambukiza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tabia ya mtu yuko kwenye gari anakwenda kwenye meza ya maembe au matikiti anataka kila kitu apewe akiwa kwenye gari, bila kuangalia ufinyu wa barabara au gari zilizo nyuma yake pamoja na watumuaji wengine wa barabara.
Unapotaka kufanya shopping ni vema ukatafuta parking ukanunua vitu ukachukua gari ukaondoka.
Unakuta mtu anasababisha foleni kubwa ukichunguza unakuta jitu limesimama anakula pande la tikiti bila hata aibu akijua amezuia wengine kupita.
Kumbuka uvivu utakusababishia magonjwa yasioambukiza.
Sent using Jamii Forums mobile app