Wenye maduka Arusha wafunga maduka

KIBUKUSA

Member
Dec 13, 2013
84
29
Wafanyabiashara wa Jiji la Arusha leo wamefunga maduka yao kushinikiza serikali kuondoa matumizi ya mashine za kielektroniki za kodi. Hata hivyo maduka ya wafanyabiashara wa kiasia yako wazi. Sasa hoja ni hii kwa nini wabongo wagomee na siyo wahindi?
 
Back
Top Bottom