Wafanyabiashara wa Jiji la Arusha leo wamefunga maduka yao kushinikiza serikali kuondoa matumizi ya mashine za kielektroniki za kodi. Hata hivyo maduka ya wafanyabiashara wa kiasia yako wazi. Sasa hoja ni hii kwa nini wabongo wagomee na siyo wahindi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.