Wenye "madingi" wakali tukutane hapa

nikisema nihadithie yote humu mtachoka.. mzee alikuwa mkoloni hatari... majirani wanamuita mjerumani ila wanamkubali kichizi... unakuta msiba wa jirani au sherehe ya jirani... wakiwa wanabishana bishana kufikia uamuzi wa pamoja... wanamuita mzee kwenye kikao awasaidie kufanya maamuzi.. kwanza cha kwanza anawaomba wanawake wote wanyamaze na wabaki wasikilizaji.. kisa anaongea na wanaume wenzake jinsi marehemu asafirishwe vipi au azikwe wapi.. na hapo marehemu sio ndugu yake.. ila majirani tu wamemualika.. mzee haaamini kabisa wanawake kama wana akili.. dada yangu alipata div 1.8 form 4 na point 5 pcm marian.. ila mzee hawezi mtuma kitu chochote serious anasema akili za wanawake rahisi kutapeliwa... huwa hawawazagi mambo kwa upana hata kama wamesoma sana
Ni kweli asilimia 100% mzee wako yupo sahihi..
 
Mzee alikua anasema kama unajiona upo vizuri njoo tuzipange.

Alikua hapendi mtu anyoe kipara, kaka yangu akawa mbishi siku hiyo karudi home na kipara. Mzee akamwambia kimbia ukiona upo mbali sema tayari.

Jamaa akakimbia mzee anaona mdau anasogea tu hasemi tayari, akamuungia. Dakika kadhaa mbele tunaona kaka anarudishwa kabebwa begani.
Kufika home akaambiwa tuzipange, ghafla jamaa kapiga magoti analia anaomba msamaha.

Mzee akamwambia adhabu yako utakua unapaka kiwi kichwa hadi nywele ziote.
Hahahahaha
 
Ngoja nami niandike mambo kadhaa ambayo yamenifanya niamini hakuna mzee kama mzee wangu.

1. Siku moja tumeenda kwenye ngoma masikini nikaongozana na dada zangu kwenda huko mzee alikuwa yupo safarini akarudi akakuta milango yote imefungwa na kuku wapo nje yaani full tafrani hapo nje, wazee wa ngoma tukaingia kwa mbwembwe shikamoo baba!!! Hahahha tukafungua mlango kuku wakaingia ndani msosi ukapikwa na watu wakala.

Dingi yupo kimya tu anasoma mchezo nikamaliza kula nikawa naenda kulala kidume nikaitwa njoo hapa unaenda wapi nikamjibu kulala akasema toa godoro lako likunje, nikakunja godoro vizuri nikamaliza akasema liweke chumbani kwangu nikapeleka chumbani godoro haya nenda ulale. Bwana wee Kitanda cha chuma hakina kitu nikafika kidume nikalala kwenye vyuma kwa usimamizi wake hadi majira ya saa 8 hivi nagalagala kwenye vyuma, ngozi imeweka alama kama nimechapwa bakora aiseeee. Wale dada zangu wenyewe walifungwa juu ya kenchi usiku kucha hadi asubuhi, Asubuhi niliamka poa tu nikakanda mwili vizuri nikaendelea na majukumu ya utoto.

2.Kuna mdogo wangu alikatwa masikio.

3.Vikojozi walikuwa wanalala kwenye mfuko, wanaingizwa humo usiku kucha watatolewa asubuhi.

Hakuna kusema neno NITAKUPIGA hata kama ni kwa mdogo wako akisikia hilo neno ni kipigo Heavy kwa aliyesema "alikuwa anadai yeye ndiye mwenye uwezo wa kupiga kwenye ule mji".

Ukizira kula jiandae kula kwa lazima na chumvi ikizidishwa maradufu kwenye mboga chini ya usimamizi wake.

Kuchomwa kwa mvuke ilikuwa kawaida sana kwetu.

Ukipigwa haja kubwa isitoke shukuru Mungu kipigo cha siku hiyo.

Aliwahi kukunja mzazi mmoja ngumi hadi kwenda polisi (ila hiii sisemi).

Nilikuwa nafata maji usiku saa mbili kisimani ambapo ni zaidi ya km 2 pekee yangu nikiwa under 10 years.

Nipo safarini nikifika nitawaambia watu wa Tanga nipokeeni hapo stand. Nipo kwenye basi la Simba Mtoto natokea Isamembwe.
Kati ya zote simuliz yako no kiboko
 
Mzee alikua anasema kama unajiona upo vizuri njoo tuzipange.

Alikua hapendi mtu anyoe kipara, kaka yangu akawa mbishi siku hiyo karudi home na kipara. Mzee akamwambia kimbia ukiona upo mbali sema tayari.

Jamaa akakimbia mzee anaona mdau anasogea tu hasemi tayari, akamuungia. Dakika kadhaa mbele tunaona kaka anarudishwa kabebwa begani.
Kufika home akaambiwa tuzipange, ghafla jamaa kapiga magoti analia anaomba msamaha.

Mzee akamwambia adhabu yako utakua unapaka kiwi kichwa hadi nywele ziote.
 
Duuuuh nilpokuwa std la 6 nilimtukana shangazi lakin yeye ndo alikuwa mgomvi alinitania neno flan hivi lol, nkahamaki nkatoa tusi 1 kubwa pasipo kutarajia, af kumbe mzee alikuwa karibu na maeneo yaleeh, uwiiiiiiiiiiiih kisanga nilichokutana nacho had shangazi mwenyewe akawa analia kunionea huruma, sitasahau kamweeh. But nampenda san mshua.
 
nyie wote hapo juu wazee wenu bado sana hawajamfikia mzee wake jamaa angu, ni mjeda anaamuaga tu kuna siku anaamka amenuna
 
Duh wazee wa zamani kiboko... Mimi kwa bahat mbaya wazaz wangu walifariki ningali mdog mnoo RIP MAMA na BABA. Ila nimelelewa na mama yangu mdg jamani alikua anachapa kosa dogo tuh anakuchapa had majilan wanamuachanisha lkn wapi.

Nakumbuka Christmas ya 2007 cku iyo aliandaa maandaz sasa alipanga yatumike wiki nzima kama mjuavyo ckukuu chakula kinapikwa watu wanakula na kufurahiaa nakadhalika watu wote waliondoka nyumban nikabaki mimi pekeangu, akaja mama mmoja na mmewe wakaniomba chakula nikawapa wakala wakat wanataka kuondoka nikawachotea maandaz kdg kwenye mfuko wakaondoka. Jion mamdg alivolud aliona maandaz yamepungua akaniuliza nan kagawa maandaz nikajib n mimi mamdg alinichapa nusu kuniua
Sitasahau aisee kile kipondo kwa bahati mbaya bado hajabahatika kupata mtt labda ni vile hajui uchungu wa mwana maana dah stakaa nimsahau mamdg wangu.

hii inasikitisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom