BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
Hakuna mtu alikuwa na dingi mkali kanda ya kati kama mimi.
Yani Tabora, Dodoma na Singida nna uhakika mzee wangu ndio alikuwa mzee mkali kuanzia miaka ya 1976 mpaka alipofariki mwaka 1997.
Mzee alikuwa fundi umeme, ndani alikuwa na nyaya za umeme za kutosha siku ukifanya kosa anachukua nyaya anaikunja mara mbili anaanza kukupa kichapo. Ukishika umefuta.
Maumivu ya nyaya ya umeme yasikie ndugu, ya mkanda yanasubiri sana. Maumivu ya nyaya nadhani ilibaki kidogo yafikie kwenye maumivu ya mapenzi (hahaha, joke)
Tulikuwa na choo na majani, siku moja nikawa nachezea kibiriti nikachoma choo then moto ukaenda kugusa kenchi za nyumba ashukuriwe Mungu majirani waliwahi kabla moto haujapamba lakini aliporudi mzee chamoto nilikiona, nilikuwa siwezi kukaa wiki nzima mfululizo kalio zimevimba balaa.
Pamoja na yote lakini nakukumbuka sana mzee wangu (RIP).
We mzee wako alikuwa mkali? Tupe story
Yani Tabora, Dodoma na Singida nna uhakika mzee wangu ndio alikuwa mzee mkali kuanzia miaka ya 1976 mpaka alipofariki mwaka 1997.
Mzee alikuwa fundi umeme, ndani alikuwa na nyaya za umeme za kutosha siku ukifanya kosa anachukua nyaya anaikunja mara mbili anaanza kukupa kichapo. Ukishika umefuta.
Maumivu ya nyaya ya umeme yasikie ndugu, ya mkanda yanasubiri sana. Maumivu ya nyaya nadhani ilibaki kidogo yafikie kwenye maumivu ya mapenzi (hahaha, joke)
Tulikuwa na choo na majani, siku moja nikawa nachezea kibiriti nikachoma choo then moto ukaenda kugusa kenchi za nyumba ashukuriwe Mungu majirani waliwahi kabla moto haujapamba lakini aliporudi mzee chamoto nilikiona, nilikuwa siwezi kukaa wiki nzima mfululizo kalio zimevimba balaa.
Pamoja na yote lakini nakukumbuka sana mzee wangu (RIP).
We mzee wako alikuwa mkali? Tupe story