PSG Pambanaji
JF-Expert Member
- Jan 4, 2020
- 222
- 146
Mpaka nimegombana na watu kisa sijibu sms kumbe hazinifikii nikitumiwa,ndo tatizo kubwa la hii simu sa nashindwa cha kufanya wengine wanasema restart, nayo haijanisaidia nikabadili hata laini .Sasa naomba ushari wenu kipi bora na suluhisho ili nipate sms nitumiwapo,mi nikituma mtu zinamfikia na akianza kujib zina fika ila tukikaa mda kidogo tu inabidi mi ndo nianze vinginevyo mtu akianza yeye hazifiki .Natanguliza shukrani kwa wakuu wote humu