Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Katika kupinga sheria inayowazuia watu wa Jinsia moja Kuasili mtoto, Wenye kujihusisha na mahusiano ya Jinsia moja huko Israel wamefanya maandamano makubwa sana wakiishutumu serikali ya Netanyahu kuwadanganya. Mashoga hao wanamlaumu Netanyahu kusaini Muswada wa kuwakataza kuasili watoto wakati Ni siku chache nyuma aliwahakikishia kuwa yuko nao.
Maandamano haya yanakuja siku chache baada ya Israel kupitisha sheria ya "Utaifa" inayotamka bayana kuwa Israel ni Taifa la Kiyahudi, sheria iliyolaaniwa vikali na raia wengine wa Israel wenye asili ya kiarabu ambao ni asilimia 20 ya wananchi wote wa Israel.
Maandamano haya ya Wenye kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja yamefanyika katika miji mikubwa ikiwemo Jerusalem, Haifa, Be’er Sheva and Tel Aviv
Habari zaidi unaweza kuisoma hapa:LGBT community stages nationwide protest against Surrogacy Law
Maandamano haya yanakuja siku chache baada ya Israel kupitisha sheria ya "Utaifa" inayotamka bayana kuwa Israel ni Taifa la Kiyahudi, sheria iliyolaaniwa vikali na raia wengine wa Israel wenye asili ya kiarabu ambao ni asilimia 20 ya wananchi wote wa Israel.
Maandamano haya ya Wenye kujihusisha na mapenzi ya Jinsia moja yamefanyika katika miji mikubwa ikiwemo Jerusalem, Haifa, Be’er Sheva and Tel Aviv
Habari zaidi unaweza kuisoma hapa:LGBT community stages nationwide protest against Surrogacy Law