rowland massawe
Member
- Jul 18, 2016
- 6
- 0
Kudhibtsha,coz hakuna mgombea mwngne
Hii ni ajabu na kweli. Yaani mtu mliyemkabidhi nchi, akawa amiri jeshi mkuu na mkuu wa nchi, leo him mnajuliza kuhusu uwezo wake wa kuongoza? Really? CCM acheni ubinafsi.
Kabla ya mengine, mimi nataka kujua huko Dodoma kunaenda kufanyika uchaguzi au uteuzi? Ni kipi kati ya hivyo viwili kipo kikatiba? Kama ni uchaguzi, mbona sioni faida au/na hasara za mgombea mwingine zaidi ya JPM zikichambuliwa hadharani?
Usiwe mvivu, ratiba ipo, soma ujue nini kitafanyikaKabla ya mengine, mimi nataka kujua huko Dodoma kunaenda kufanyika uchaguzi au uteuzi? Ni kipi kati ya hivyo viwili kipo kikatiba? Kama ni uchaguzi, mbona sioni faida au/na hasara za mgombea mwingine zaidi ya JPM zikichambuliwa hadharani?
Hakuna anaye pinga hilo kwa sabb limo nda ya katiba ya ccm kwahiyo kitakachofanyika Ddm ni kukamilisha utaratibu wa kupokea kijiti sema safari hii mambo yameharakishwa tofauti na ilivokuwa imezoeleka kiasi cha kuibua mijadala ya kulikoni uharaka huu.JPM lazima awe mwenyekiti,mlizoea vya kunyonga.
Kabla ya mengine, mimi nataka kujua huko Dodoma kunaenda kufanyika uchaguzi au uteuzi? Ni kipi kati ya hivyo viwili kipo kikatiba? Kama ni uchaguzi, mbona sioni faida au/na hasara za mgombea mwingine zaidi ya JPM zikichambuliwa hadharani?
Naomba utuelezee pia kwanini kwa mara ya kwanza katika historia ya vyama vingi tunashuhudia hofu ya "rais kuwa mwenyekiti wa Ccm" imefika hadi upinzani?
Kuna wale walikuwa wakishangilia Lowassa akikatwa, safari hii Magufuli akikabidhiwa uenyekiti huenda tukawaona wakilia na kusaga meno huku wakimkumbuka Lowassa
Rudi darasani @mwanakijiji kasome upya role ya chama cha siasa. Political mobilization is not synonymous to political bullying as per Pombe jp. CCM wakimpa jpm uenyekiti kuna mambo mawili yanaweza kutokea. Moja kutazaliwa chama kipya ambacho sio CCM. Mbili, wahafidhina wa CCM wanaweza waka-sabotage CCM. Huwezi kuacha nje watu kama wakina Emanuel Nchimbi halafu utegemee kubaki salama.
Talking about a single point of failure, pishia mbali isitokee, lakini sote ni watu, tuna uwezekano wa kupigwa daflao na kuanguka. Kwa nini tunataka likitokea hilo kwa mtu mmoja liwe na impact kubwa sana kwa chama na serikali?
DPia wana kila sababu ya kujiuliza kwanini wakati wanachama wenyewe wakijiuliza juu ya uongozi unaoandaliwa kwanini wapinzani wanaushabikia sana uongozi unaokuja! Kuna nini la manufaa kwao? Kama alivyosema JPM mwenyewe ukiona adui anakushangilia jiulize!!
Kwani wewe humjui Mzee Mwanakijiji kuwa ni mwandishi mkubwa wa makala?
Pia alikuwa ni miongoni ya waliokuwa wanaipinga CCM kwa nguvu zao zote....
Ila mwaka jana baada ya jina la Dr wa mihogo kukatwa kule CDM akaamua kuingia msituni......
Mwanakiji anajipendekeza kwa Magu...ongeza kasi bro utafikiriwa.
Whatever the intrigue involved in the succession is doubled if the CCM president is also the president.Impact gani kubwa sana wakati kuna line of succession?
Hakuna makamu wa rais?
Hakuna makamu mwenyekiti wa chama?